Robert edo
Member
- Mar 9, 2015
- 44
- 5
Natokwa na ute mzito mweupe kwenye uume na napata maumivu wakati wa kukojoa.sijui tatizo ni nn? naombeni ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natokwa na ute mzito mweupe kwenye uume na napata maumivu wakati wa kukojoa.sijui tatizo ni nn? naombeni ushauri
Naomba kujua mvulana atakumbwa na matatizo gani endapo Kama hajawahi shiriki tendo la ndoa na umri ni miaka 25 na kuendelea?
Natokwa na ute mzito mweupe kwenye uume na napata maumivu wakati wa kukojoa.sijui tatizo ni nn? naombeni ushauri
Naomba kujua mvulana atakumbwa na matatizo gani endapo Kama hajawahi shiriki tendo la ndoa na umri ni miaka 25 na kuendelea?
Habari. Naomba kuuliza ni lini mwanamke huanza kupoteza hamu ya tendo la ndoa. Wife ni mwezi wa pili sasa anasema hajisikii kufanya tendo la ndoa. Umri 46 years. Hataki kuniweka wazi tatizo lake. Nikajiuliza inawezekana ndo umri wa kushindwa kushiriki tendo la ndoa? Hajaniweka wazi tatizo lake na sina uhakika kama ana mchepuko. Ushauri tafadhali.
Kwa mwanamke kuanzia miaka 45na kuendelea uzalishwaji wa hormone ya oestrogen ambayo inasaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa inapungua kama si kuacha kabisa, hivyo tatizo la mkeo ni la kawaida, waone wataalam ambao watamsaidia kumaliza tatizo na kurudia katika hali yake mkuu,
Mkuu kumbuka njia ya hewa iko karibu na njia ya chakula kwahio si jambo laajabu kilichopuani kwenda mdomoni mf ukikosea kula ukipaliwa punje ya wali inaweza itokee kwa njia ya hewa.Allergy inasababishwa na allergens inapojiunga kwenye IgE-antibody na inapostimulate mastcells kuproduce inflammatory substance like histamine.Histamine inasababisha tunapata allergic reaction!Allergens ni vitu kama vumbi,vyakula n.k!Na ndio maana tukiwa na allergy tunatakiwa tutumie anti-histamins kama cetirizin,loratadin,kestine/ebastin,desloratadin au phexofenadinhydrochloride!Kama una running nose na macho yanaewashwa unapaswa kutumia cortison nostril spray ili kupunguza inflammation kwenye pua au antihistamin nostril spray na antihistamin eyedrops kwaajili ya macho yanayowasha!
CC MAULA
labda uniambie utanijibu.......ila kusema nina haraka na ka vipi niende kwenye hosp iliyokaribu naona kama umekuwa-harsh kwangu.unless otherwise ungebadili heading ukasema wenye matatizo waende kwenye hosp zilizokaribu nao.btw am sorry for disturbing.
Mapunye yana sababishwa na nini? Maana yana nitesa
Natokwa na ute mzito mweupe kwenye uume na napata maumivu wakati wa kukojoa.sijui tatizo ni nn? naombeni ushauri