Rashidyisiaka
Member
- Oct 23, 2015
- 20
- 19
Nina tatizo la mgongo kulia koda nn dawa yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo Mloganzilaa Utatibiwa Bila Surgery chap yanii...Dr Tiba Rahisi Ni Ipi Ya Kutibu Tatizo la Kuondoa Jiwe Kwenye Figo Msaada Tafadhari
Hydrocele inaweza kuondolewaa na Surgery ndogo tuu lakini pia Cause yake ni nini?? Inaweza kuwa ni Parasites so lazima pia upewe dawa ya kuwaclear hao minyooo...Tiba sahihi ya korodani kuvimba ama busha
Jaribu Azithromycin pia...!!NINI DAWA YA TYPHOID? MWAKA WA KUMI HUU, SITAKI MEZA CIPRO TENA.
NAFUATA KANUNI.ZOTE ZA USAFI ILI HALI KUNA WATU WANAKUNYWA MAJI YA BOMBA HUTAKAA USIKIE ANAUMWA.
NITIBUNI TYPHOID KWA GARAMA YOYOTE.
Tafuta Vitamin B mkuuu...!! Itakusaidia sana...Mkuu ninatatizo la muda mrefu kwenye lips zangu za mdogo huwa zinabanduka na kuacha ngozi nyekundu na kufnya mdomo kuwa mwekundu na nikioga vinatoa vitu vyeupe ukivibandua vinatoka ni tatizo la muda mrefu naomba msaada tafadhali.
UTI kwa muda mrefu inaweza sababisha matatizo ya Figo na kibofu cha mkojoo sababu wale bacteria huathiri orgnans pia...Athari ya kuishi na maambukizi ya U.T.I kwa muda mrefu ni yapi?
Kupata choo kidogo sio tatizo labda usema unapata choo kwa Shida mkuu.. Ningesema labda una large Intestinal blockage lakini haiwezekani maana ungekuwa unapata maumivu.Habari mkuu mimi Upatikanaji wa choo tatizo napata kidogo sana
Lactulose ni dawa inayotibu CONSTIPATION...!! Maana yake kama hupati choo kwa muda mrefu unapewa hii kupata choo..Dawa ya lactolose inatibu Nini
Ulcers zinaweza kuwa zinasababishwa na Factor nyingi lakini Kubwa hasa ni.Naipataj???
Zimeachaje mkuu??? Yani meno yamelegea au kuna space kati ya jino na jinoo???Ipi dawa sahihi ya fizi xilixoacha meno kabisa
Hii inaweza kuwa dalili ya Haemorrhoid ambapo unaweza ukawa na Uvimbe kwenyw Anus yako ambayo inapata pains unapojisaidia usipowahi kuitibu itakuwa kubwa na inaweza toka kidonda.. Tafuta dawa inaitwa ANNUSOL mapema.Habar Doctor, Naomba msaada nasumbuliwa na maumivu sehemu ya haja kubwa nikiwa toilet na nikishatoka sehemu ya haja kubwa inauma sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hali inakutokea hata ukiwa umekula???Mkuu Mimi nikilala hua nasikia maumivu ya tumbo kiasi chin yakitovu Kama njaa hivi,Ila nkiinuka nakuanza mishemishe inapotea,unakuja pind nkitaka kulala na nnapoamka,uliwahi kupotea Hari hyo nlipokunya dawa za minyoo
Maziwa ya Mgando yanaharibu baadhi ya Dawa kwa sababu kwenye maziwa kuna Calcium ambayo hureact na Dawa na kuzuia isinyonywe kwenye damu mfano dawa kama Tetracycline tabs.. Lakini pia kuna dawa inabidi unywe na Maziwaa ili kuongesha ufanisi wake na absorption yake kwenye mfumo wa chakula kama ALU NA GRISEOVULVIN.Jeh Maziwa mtindi/mgando yanaharibu dawa
Ni dalili ya Msongo wa mawazoo...!! Kuna vidonge vinasaidia kupata usingizi na kupunguza stresa kama Lorazepam au Citalopram lakini dawa hizi ni mpaka uandikiwe na Dr maana madhara yake ni mabaya na inaweza pelekea Addiction.Nakosa usingizi kipindi nikiwa macho.. Sijui shida nini !!
Minyoo huzalisha sumu ambayo inaweza sababisha Allergy kwa watu baadhi ikiwa hii pia minyoo mingine husababisha kuaribika kwa Mfumo wa Utoaji maji mwilini hivyo kupeleka maji kuaccumulate na hii husababisha muwasho wa Ngozi ambapo ukijikuna sana ngozi inaweza tengeneza vidonda. Kuna dawa inaitwa DIETHYLCARBAMAZINE.. Kwa bongo unaweza zipata japo kwa shida sana maana huu ugonjwa kwetu sio sana maana watu hupewa Chanjo mapema lakini ukikosa jaribu DOXCYCLINENaombeni msaada wa dawa nzuri iwe ya mitishamba au ya kitaalamu kwa mtu aliye na tatizo la minyoo sugu linalopelekea akijikuna mwili unavimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Asilimia 95 ya Psychiatric case bongo chanzo ni Bangii...Yani kila fail la mtu mwenye Kichaa wachache sana unaweza kosa Historu ya Kuvuta bhangi so kuna uhusiano.
Uvimbe unaweza kuwa Umesababishwa na infection tafuta dawa inaitwa Dexamethasone+ Neomycin..!! ItakusaidiaNi dawa gani nzuri kutibu tatizo la uvimbe na maumivu katika sikio....Maumivu yanaenda mbali kiasi cha kusababisha maumivu ya kichwa? sababu ilianza baada ya kutumia pamba stick (cotton buds)
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukurani sana kiongoziTafuta Vitamin B mkuuu...!! Itakusaidia sana...