Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Much much respect dada...

Kazi unayofanya hapa si haba, ofcoz tunaomadaktari wengi sana lakini ni wachache sana wenye moyo kama huo hata ktk kazi za wito kama hii. What can i say I'm proudly of you, Na kikubwa nilichokibaini hapa ni kama hauko hapa Tz, ila umetumia muda wako ambao tunaamini ni mchache sana kuwasaidi watu bure kabisa bila malipo..!!! Kama ni mbongo uliye nje kikazi nijisikia fahari sana kuwa na sach moyo wa upendo tulionao wabongo wengi. Lakini pia kama ni Mkenya then Mungu akubariki kushare utaalam wako ktk sekta nyeti kama hii ya Afya na wana East Africa, Africa na dunia kwa ujumla.

N.b,nitajongea tena hapa baada ya kupitia cheti nilichopima.

Kwa hakika sijawahi kutumia kilevi cha aina yoyote ile, iwe ni Pombe,Sigara,Cocaine wala Bangi na uzito wangu nadhani uko Normal ingawaje nimepanda kidogo toka kilo 68 mpaka kilo 73 (30age) nilizopima wakati nachekiwa mwezi wa pili. Pia sina pressure. Maybe kama tatizo hili linatokana na Effect za X-ray niliyopiga kifuani miaka13 iliyopita.

Dr gorgeousmimi, Narudia tena, Mungu akubariki na akuzidishie popote unapopungukiwa kwa msaada wako kwa wadau hapa ndani.

Blessed blessed again,be Blessed. Nitakutafuta baadaye.

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Fanya mazoezi ya mwili na kegel exercise.Ukienda kujisaidia haja ndogo fanya kama unakojoa kidogo kisha unazuia mkojo usitoke hesabu mpaka tano,kojoa kidogo kisha zuia tena kwa kucontrol misuli(usichanganye misuli hii na ya miguu,tumbo na makalio) na usijizuie kupumua!!!Rudia zoezi hilo mara 10 kwa siku mara tatu.Kila la kheri mkuu

Nimekaa na madoctor sijawai sikia hii dah.......hongera inabidi kama zianzishe awards humu jf
 
Dr mm Nina ndugu anaishi na vvu km miaka 7 sasa hanywi dawa za kurefusha maisha na afya yke co mbaya lkn ameanza kupata majipu Mara kwa Mara tumsaidieje? Nae hataki kunywa dawa za kurefusha maisha?msaada plz
 
Dr mm Nina ndugu anaishi na vvu km miaka 7 sasa hanywi dawa za kurefusha maisha na afya yke co mbaya lkn ameanza kupata majipu Mara kwa Mara tumsaidieje? Nae hataki kunywa dawa za kurefusha maisha?msaada plz
Nawashauri mumpeleke kwa mwanasaikolojia ili apate uelewa wa umuhimu wa tiba ya ukimwi.Ni kawaida kwa baadhi ya wagonjwa kuwa na bad compliance.

Kupatwa na majipu ni kwasababu ya ugonjwa alokuwa nao virusi wanavamia immune system na inakuwa down kwahio ni rahisi kupata opportunistic infections na ndio maana ni muhimu atumie dawa ili kuwadhibiti hao virusi wasiendelee kuzaliana.

Anahitaji vilevile antibiotic ili kuepuka infections ni vyema mumpeleke hosp.
 
Much much respect dada...

Kazi unayofanya hapa si haba, ofcoz tunaomadaktari wengi sana lakini ni wachache sana wenye moyo kama huo hata ktk kazi za wito kama hii. What can i say I'm proudly of you, Na kikubwa nilichokibaini hapa ni kama hauko hapa Tz, ila umetumia muda wako ambao tunaamini ni mchache sana kuwasaidi watu bure kabisa bila malipo..!!! Kama ni mbongo uliye nje kikazi nijisikia fahari sana kuwa na sach moyo wa upendo tulionao wabongo wengi. Lakini pia kama ni Mkenya then Mungu akubariki kushare utaalam wako ktk sekta nyeti kama hii ya Afya na wana East Africa, Africa na dunia kwa ujumla.

N.b,nitajongea tena hapa baada ya kupitia cheti nilichopima.

Kwa hakika sijawahi kutumia kilevi cha aina yoyote ile, iwe ni Pombe,Sigara,Cocaine wala Bangi na uzito wangu nadhani uko Normal ingawaje nimepanda kidogo toka kilo 68 mpaka kilo 73 (30age) nilizopima wakati nachekiwa mwezi wa pili. Pia sina pressure. Maybe kama tatizo hili linatokana na Effect za X-ray niliyopiga kifuani miaka13 iliyopita.

Dr gorgeousmimi, Narudia tena, Mungu akubariki na akuzidishie popote unapopungukiwa kwa msaada wako kwa wadau hapa ndani.

Blessed blessed again,be Blessed. Nitakutafuta baadaye.

BACK TANGANYIKA
Ahsante kwa kuonesha ushirikiano kwenye uzi huu.X-ray haiwezi kusababisha tatizo hilo mkuu.Vipimo vya EKG vinaweza kuthibitisha kama una tatizo kwenye moyo.
 
Last edited by a moderator:
Doctor nina mgonjwa hapa ni HIV pos but alikua anakohoa dam nikafanya x-Ray tuka DX ni EPTB nikamuanzishia ant TB but baada ya wiki 2 alipokuja nimuanzishie ART namuona condition imekua kubwa maana Ana oedema of lower limb na difficult in breath yaani sign za heart failure ila vightal sign ni normal na hb ni 11.9 g/dl na anasema akinywa zile dawa za tb ndio moyo unaenda mbio na hawez lala nimeagiza wachek LFT na KFT na pia FBP je inawezekana ni side effect ya hizi dawa na vipi ART nianzishe au nisubir kwanza maana vipimo bado majibu
 
Hello Dr. Naomba kujua nini matumizi ya "Manix" na nini athari zake kama zipo na je mtu anashauriwa kuzitumia kwa Muda gani?
 
Tunapopata msisimko wa kimwili, nerve impulses zinatumwa kutoka kwenye ubongo kwenda kwenye corpus carvenosa, ambapo signal substance Nitrogen monokside(NO) inazuia kuvunjwavunjwa kwa GTP(Guanine-5-triphosphate) - cGMP(Cyclic Guanine monophosphate) inayosababisha muscles zirelax na uume usimame.
  • Ili uume usimame ipasavyo venes must be compressed.Compressionmechanism ikiwa defect erection inapotea partially au totally kwasababu kunakuwa na venous leckage.
  • Kitu kingine ni nerveimpulses nilizozitaja kwenye first paragraph(sympathic and parasympathic motor neurons) zinaweza kuwa disturbed na kupeleka weak erection n.k So through masterbation you could triggering reflexes too often uncautionally or defeating compression mechanisms.
  • And these are just my speculations.Hakuna direct scientific explanation how can masterbation prior to premature ejaculation.
  • Unaweza kutumia scheriproct/alcos anal suppositories/cream kama management ya external hemorrhoid!

Dr. Nini matumizi ya dawa ulizoziorodhesha hapo chini ie scheriproct
 
Hellow wapendwa,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!

Karibuni sana..

tatizo la fangasi ktk sehemu za sili pamoja na vipele ukinyoa au hata usiponyoa mavuzi. Dawa yake n nini mkuu
 
Dr. kaja ningekushauri uchukue vipimo vya AST,ALT,S-uric acid vya mgonjwa kutokana na tiba ya tuberculosis.

Nakushauri pia uongee na mgonjwa ili upate kujua jinsi anavyokula dawa kwasababu dalili ulizozitaja za moyo kwenda mbio ni symptoms za overdose ya dawa za tuberculosis na edema ni mojawapo ya athari ya tiba hio.

Sikushauri uanze ART kabla hujaresolve tatizo lililopo sasa. Protease inhibitors including (Amprenavir/ Fosamprenavir, Atazanavir, Darunvir, Indinavir, Lopinavir, Sakinavir) zipo contraindicated na tuberculosis medication.
 
Last edited by a moderator:
Saver naomba upitie baadhi ya post za nyuma nimejibu mara kadhaa kuhusu jinsi ya kutibu fangasi za sehemu za siri.

Jaribu kuchunguza pia vitu vinavyosababisha wewe kupata fangasi je ni maambukizi kutoka kwa mwenza wako?

Vipele ulivyonavyo vina muonekano gani?vinawasha?vinatoka fluids zozote?
 
Last edited by a moderator:
mkuu mgoshawampasa manix ni herbs au natural product sifaham athari zake kwasababu haijafanyiwa researches ili hilo ligundulike.Tumia kwa umakini.
 
Last edited by a moderator:
kuna ndugu yangu dkt yy hajawahi ona macho ucku hata gizan pia vp tatizo lako linaufumbuz kwa xaxa
 
Dr kuna dawa ya kutoa gesi tumboni kwa mtoto wa chini ya miezi6? Coz habeuwi pia ananyonya vidole sasa ile gesi inajaa tumboni adi kitofu kinatuna au kutoka nje na anakua analia kwa maumivu msaada mkuu tafadhali
 
Dr kuna dawa ya kutoa gesi tumboni kwa mtoto wa chini ya miezi6? Coz habeuwi pia ananyonya vidole sasa ile gesi inajaa tumboni adi kitofu kinatuna au kutoka nje na anakua analia kwa maumivu msaada mkuu tafadhali
Tafuta simethicone/dimethicone drops.Zinasaidia kupunguza gesi tumboni!
 
Wakuu nimeuliza swali langu muhimu kuhusu mustakabali wa afya yangu. Nimejibiwa sina Permission ni ipi hiyo? Nijuzeni
 
Back
Top Bottom