Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Hello NDAGLA,Nakushauri utumie coxibs mfano etoricoxib kwa magoti 30mg daily, usipopata nafuu tumia 60 mg daily.

Kama unaanza tena kutumia prednisolon unapaswa utumie pia calsium tablets with vitamin D3 ukiwa unatumia dawa hio. Ukianza matumizi vilevile unapaswa ustep up mfano unaanza na dozi ndogo na kuongeza taratibu.

Jinsi ya kustep down ni kupunguza 10-30% kila wiki au kila baada ya wiki mbili kama umeanza mfano na 5mg as highest dose unatakiwa ushuke mpaka 1,25 mg as lowest dose.

Kawaida unapewa karatasi ya Gradual reduction.

Nitaandika nikipata nafasi
 
Last edited by a moderator:
Naomba kujua kama ni tatizo au ni kawaida. kwenye epididimis nahisi kama kuna vivimbe lakini sina maumivu. ni muda sasa zaidi ya miaka 5. Ila nachelewa sana kupata ejaculation- inaweza kuwa hata zaidi ya dakika 30.

Sina tatizo kwenye erection, iko vizuri tu na hainizuii kufurahia tendo. nini ninachoweza kufanya.
 
Nina binti yangu anaumri wa miaka 18 tatizo lake hapati hedhi ikifika mwisho wa mwezi tumbo lake linamuuma sana lakini hakuna chochote yaani yupo kama mwanaume.
 
Naomba kujua kama ni tatizo au ni kawaida. kwenye epididimis nahisi kama kuna vivimbe lakini sina maumivu. ni muda sasa zaidi ya miaka 5. Ila nachelewa sana kupata ejaculation- inaweza kuwa hata zaidi ya dakika 30. Sina tatizo kwenye erection, iko vizuri tu na hainizuii kufurahia tendo. nini ninachoweza kufanya.

Nenda kaonane na daktari si kawaida eneo hilo liwe na viuvimbe kama haviumi si inflammation it could be something else serious!
 
Nina binti yangu anaumri wa miaka 18 tatizo lake hapati hedhi ikifika mwisho wa mwezi tumbo lake linamuuma sana lakini hakuna chochote yaani yupo kama mwanaume.
Je alishawahi kupata hedhi at all tangia abalehe?
 
Nenda kaonane na daktari si kawaida eneo hilo liwe na viuvimbe kama haviumi si inflammation it could be something else serious!

Ahsante sana Dr. kwa angalizo. ubarikiwe. Ila ni specialist wa aina gani naweza kumuona.
 
Hello NDAGLA,Nakushauri utumie coxibs mfano etoricoxib kwa magoti 30mg daily,usipopata nafuu tumia 60 mg daily.Kama unaanza tena kutumia prednisolon unapaswa utumie pia calsium tablets with vitamin D3 ukiwa unatumia dawa hio.Ukianza matumizi vilevile unapaswa ustep up mfano unaanza na dozi ndogo na kuongeza taratibu.Jinsi ya kustep down ni kupunguza 10-30% kila wiki au kila baada ya wiki mbili kama umeanza mfano na 5mg as highest dose unatakiwa ushuke mpaka 1,25 mg as lowest dose.Kawaida unapewa karatasi ya Gradual reduction.Nitaandika nikipata nafasi

Thanks alot Dr gorgeousmimi for such a useful thread.

Ina maana nikizianza tena hizi PREDINISOLONE na Ca tablets with Vitamin D3 kwa kustep up na kuziacha after a while kwa kustep down HAYA MAUMIVU YA VIUNGO HAYATA KUWEPO TENA?

Maana hizo Coxib (Etoricoxib,Celecoxib/Celebrex) nimezitafuta online ni very expensive na niko nje ya jiji for now so kuzipata pia si rahisi.
 
Last edited by a moderator:
hajawahi kupata hedhi tangu abalehe.
yuko kwenye tabu saana pindi ifikapo tarehe ambazo ninadhani kuwa ndo ilibidi awe kwenye siku za hedhi
 
Daktari naomba kuuliza. Baridi yabisi ni ugonjwa gani? Unasababishwa na nini? Na je unatiba?
 
hajawahi kupata hedhi tangu abalehe.
yuko kwenye tabu saana pindi ifikapo tarehe ambazo ninadhani kuwa ndo ilibidi awe kwenye siku za hedhi
Nakushauri umpeleke binti yako kwa daktari wa wanawake atakuwa na matatizo kwenye mfumo wake wa uzazi!
 
Habari dr,
Nini dawa ya viginal cyst,ninakipele kidogo ndani ya uke,ambacho mpaka niingize kidole ndo nakigusa,(nusu kidole) kwenye ukuta wa uke,hakiumi,nilienda kuonana na dr akakiangalia akasema ni ki -cyst.Nini dawa yake?Naomba msaada tafadhali.
 
Thanks alot Dr gorgeousmimi for such a useful thread.

Ina maana nikizianza tena hizi PREDINISOLONE na Ca tablets with Vitamin D3 kwa kustep up na kuziacha after a while kwa kustep down HAYA MAUMIVU YA VIUNGO HAYATA KUWEPO TENA?

Maana hizo Coxib (Etoricoxib,Celecoxib/Celebrex) nimezitafuta online ni very expensive na niko nje ya jiji for now so kuzipata pia si rahisi.
NDAGLA kama hilo tatizo lipo kabla hujaanza kutumia dawa sina uhakika kama linaweza kuepukika ukitumia calcium tablets na ukistep up prednisolon.Ila utaepuka risk ya tatizo lako kuworsen na kama una shaka una osteoporisis tiba yake ni nyingine na unahitaji vipimo ili lihakikishwe hilo.

Naomba kuuliza unatumia prednisolon kwaajili ya tatizo gani?
 
Last edited by a moderator:
Habari dr,
Nini dawa ya viginal cyst,ninakipele kidogo ndani ya uke,ambacho mpaka niingize kidole ndo nakigusa,(nusu kidole) kwenye ukuta wa uke,hakiumi,nilienda kuonana na dr akakiangalia akasema ni ki -cyst.Nini dawa yake?Naomba msaada tafadhali.
Kama hakiumi hakina madhara yoyote na huhitaji tiba.Vaginal cysts ni kiuvimbe kilicho na hewa, majimaji na hata vitu vingenevyo.Zipo aina tofauti kutokana na sababu tofauti.

Inculsion cyst ndio uliyo nayo wewe na inasababishwa na trauma kwenye ukuta wa uke mfano kitendo cha kuzaa,kuongezwa njia ili mtoto atoke au surgical procedure nyingine zinazoweza kuathiri ukuta wa uke.
 
Neotestosterone ni dawa inayotumika kutibu growth and development of male sex characteristics,increases protein anabolism,and decreases protein canabolism.
Sina uhakika kama umechanganya noetestosterone na nortestosterone.Nortestosterone inatumika kwa watu wazima waliofikia post menopause kutibu osteoporosis na inaweza kutumika pia kwa aplastic anemia,na kama progestin(oral contraceptive).Kama progestin inaweza kutumika kutibu amenorrhea,dysfunctional uterine bleeding,endometriosis,kama palliative treatment against endrrometial cancer,breast cancer and prostate cancer.

Asante sana Doctor ubarikiwe sana, naona nilikosea kuandika nilimaanisha Nortestosterone as progestin oral contraceptive.
 
NDAGLA kama hilo tatizo lipo kabla hujaanza kutumia dawa sina uhakika kama linaweza kuepukika ukitumia calcium tablets na ukistep up prednisolon.Ila utaepuka risk ya tatizo lako kuworsen na kama una shaka una osteoporisis tiba yake ni nyingine na unahitaji vipimo ili lihakikishwe hilo.Naomba kuuliza unatumia prednisolon kwaajili ya tatizo gani?

Noted with thanks Dr.

Hili tatizo la joints limeanza baada ya kuacha ghafla kutumia predinisolone yapata mwezi sasa.

Tatizo langu linalopelekea kutumia predinisolone ni asthma.

Very sorry nimechelewa kukujibu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom