ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,120
- 5,352
Dr naomba ufafanuzi juu ya hili, inawezekana MTU akawa mjamzito halafu akawa anaziona siku zake kama kawaida?
hilo haliwezekani mkuu... maana tayari kitakuwa na mabadiliko ya homoni, progesterone inakuwa high ili kushikiza mimba... ikitokea tatizo ikashuka basi mimba itatoka kwa mfumo uleule wa kama mwanamke anavyopata hedhi.