Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Mtoto wangu alizaliwa kabla ya muda alopaswa kuzaliwa. Madaktari walisema yupo sawa hana shida yoyote. Tulikaa hospitali kwa wiki tatu tukaruhusiwa kurudi nyumbani. Awali alikua sawa kabisa na ukuaji wake upo vizuri Sana na sio rahisi mtu kujua Kama alizaliwa njiti ukimwona sasa. Ila baada ya kufikisha miezi minne alianza kukohoa kikohozi kikavu, mwanzoni tulidhani ni kawaida tukaenda hospitali akapewa syrup za kikohozi kikawa kinapoa na baada ya muda kinarudi palepale. Sasa ana miaka miwili na miezi mitano, tumeenda hospitali kubwa Hadi ultera sound zimefanyika wanasema hakuna tatizo. Anaongea, Ni mchangamfu Sana na hana shida nyingine yoyote isipokua hiki kikohozi kikavu na kisichopona. Tumeshapewa dawa nyingi lakini hajawahi pona akaacha kabisa kukohoa.
Hii inaweza kuwa Ni shida gani na nifanye Nini mwanangu awe aondokane na shida hii.
Ametumia dawa ya aina gani?Ni kawaida kwa baadhi ya watoto walozaliwa premature kutatizwa na asthma!Je amechekiwa hio?
 
Habar doctor naomba msaada ninatatizo lachembe moyo kuuma nalinamuda sasa nimehangaika sijapata dawa inayo nifaa naomba Tiba yake kama unayo
Umejuaje kama una chembe moyo?umefanyiwa vipimo vyovyote au umepata tiba yoyote?
 
Hellow wapendwa,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!

Karibuni sana.

A



B


C



D


E



F
Kuna dawa ya mtoto wa miaka kumi na tano kuacha kukojoa kitandan?
 
Umejuaje kama una chembe moyo?umefanyiwa vipimo vyovyote au umepata tiba yoyote?
Sijafanyiwa vipimo ila nilionana na dactari nikampa maelezo akiniandikia dawa ambazo leo ndy nimemaliza dozi yake lakin tatizo bado aliniambia ninamchubuko kwenye utumbo wa juu
 
Naomba kujua dawa ya kinyama kimechoota sehemu ya haja kubwa
 
Desmopressin inaweza kutumika kucontrol bedwetting,kidonge kimoja usiku kabla ya kulala!
Keshatumia almost miez mitatu nangakuna msaada japo pia wakat anatumia alikua anasema inampa usingizi sana alikua analala sana na alikua boarding darasa la sita hadi la saba..Haikumsaidia akaamua kuacha mwenyewe na alikua anatumia pamoja na vitamin B
 
Habari doctor naomba kujua dawa ya haraka sana ya kuongeza damu maana iko chini sana na dawa pia ya kuongeza madini chuma mwilini na pia dawa ya kuacha kula udongo[emoji120][emoji120]
 
Swali lingine ni kwamba vidonda vya tumbo au upungufu wa damu na upungufu wa madini chuma unaweza kusababisha ushindwe kupumua vzr????
 
Sorry Ndugu nlitakiwa pata PEP kulingana n yaliyotokea,,, ila kuna disp wamenipa arv Kwny bahasha wameandika TLD na zilikua za Siku 90 kwenye kopo,,, ila wamenihesabia za Siku 30.....je hizi tld zinafanya kazi kama PEP au lazima iandikwe PEP.....???
Kirefu cha PEP ni Post Exposure Prophylaxis kiswahili chake sikijui vizuri ila ni matibabu anayopewa mtu ambaye amekuwa exposed na mazingira ya ukimwi ndani ya masaa 72 ambayo siyo dawa sasa dawa zinazotelewa ndio hiyo TLD kwa ajili ya kuziuia mtu asipate maambukizi
 
Tuliambiwa dawa za asili..bahat mbaya mtu mwenyeww mwenye hilo tatizo ameshafariki wiki mbili zilizopita
Poleee sana
Kupona ni changamoto kidogo kwasababu huwa tunatoa matibabu tukitegemea ini lenyewe ndo lidegenerate ili mgonjwa apone lakini kwa nchi za wenzetu unaweza kufanyiwa liver transplant na akapona
 
Back
Top Bottom