Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Kayakanyaga subiri wajuba waanze kumsalandiaKumwambia mwanamke unampenda. Usiache
Mwanamke anapenda assurance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kayakanyaga subiri wajuba waanze kumsalandiaKumwambia mwanamke unampenda. Usiache
Mwanamke anapenda assurance
BASI MUELEWESHE VIZURI...Anapendwa
nitaongea nae saa3BASI MUELEWESHE VIZURI...
good mkuunitaongea nae saa3
Mwambie tu hivi.[emoji115]hata kwa kuigiza tu.Na wewe mwambie hivyo hivyo nakupenda mama la mama my African queen, mke wa ndoto zangu
Wanawake ndio wanapenda kusikia hivyo
Hahaha hiyo avata hadi mate lazima yatoke mkuu ukiwa mtu wa kilaji.Avata yako imenisisimua, vinyweleo vimenisimama
Mi kuangalia tu alosto imeshtuka mate yameshuka ktk jawHahaha hiyo avata hadi mate lazima yatoke mkuu ukiwa mtu wa kilaji.
Mna umri gani?Mke wangu kila dakika ananiambia ananipenda mpaka nakasirika.
Wataalamu kuna haja gani ya kila mara kumwambia mtu haya maneno. Mbaya zaidi ananilazimisha na mimi kila mara nimwambie maneno haya haya!
Aisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.
Unaelewa mento kesi weweMna umri gani?
Pengine mento kes 🙂
he he he siyo big deal sanaMpe talaka uepukane nahayo makasiriko
Wewe ndo umeongea kweliMwambie tu kila kitu ni kwa kiasi akwambie ia kwa kiasi ww hupendi kuambiwa kila muda
The sixth sick sheik's sixth sheep's sickUnaelewa mento kesi wewe
Sidhan kama una elimu ya kutosha