Nakasirika kila mara mke wangu ananiambia ananipenda. Kuna haja gani sasa?

Nakasirika kila mara mke wangu ananiambia ananipenda. Kuna haja gani sasa?

Umri wako utakuwa ni chanzo Cha hili tatizo.
 
Na wewe mwambie hivyo hivyo nakupenda mama la mama my African queen, mke wa ndoto zangu
Wanawake ndio wanapenda kusikia hivyo
Mwambie tu hivi.[emoji115]hata kwa kuigiza tu.
 
Anza uchunguzi kama hakucheat. Maana siku hizi tunawafundisha kupenda waume zao, ila mbona simple mwambie pia then kiss her forehead then mwegemeze begani mikiss tena. Haliksha ukiwa unacheat sumu na visu weka mbali
 
Mke wangu kila dakika ananiambia ananipenda mpaka nakasirika.

Wataalamu kuna haja gani ya kila mara kumwambia mtu haya maneno. Mbaya zaidi ananilazimisha na mimi kila mara nimwambie maneno haya haya!

Aisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.
Mna umri gani?
Pengine mento kes 🙂
 
Back
Top Bottom