Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge awe na Shahada ya Pili kwasabu ni top layer Sana wa serikali....hili liende kwenye katiba mpyaBunge la Wabunge darasa la 7 eti ndiyo wanajadili mstakabali wa elimu. Ha ha ha 😃😃
Hawatakubali hata kwa bunduki.Mbunge awe na Shahada ya Pili kwasabu ni top layer Sana wa serikali....hili liende kwenye katiba mpya
Naunga mkono hoja! Elimu imeharibiwa na wanasiasa kutaka ufaulu uongezeke ili wapate sifa…..Kama Mdau Tukuka wa Elimu, Mkufunzi na mwana Saikolojia nakataa kuwa Tatizo la Elimu ya Tanzania ni Mfumo.
GENTAMYCINE nimewavumilieni na huu Upuuzi wenu usiovumilika wa kutaka Kubadili Mfumo wa Elimu ya Tanzania na leo nawatoleeni Uvivu.
Tatizo siyo Mfumo wa Elimu uliopo kwani hata akina GENTAMYCINE na Wengineo tumeupitia huo huo na kuwa na hizi Akili Kubwa sasa iweje leo muukatae kwa Hoja zenu za Kipuuzi / Kipumbavu?
Ni hivi tatizo siyo huu Mfumo mnaohangaika nao bali Tatizo Kuu na Sugu ni kutokuwa na Walimu Mahiri na Mitoto mingi inayozaliwa na Ujuha ( Uzuzu ) mwingi kutokana na kupata Lishe Duni inayopata kutoka kwa Waliokurupuka Kuwazaa.
Najua kwakuwa Bunge letu la sasa lina 90% ya Wabunge hovyo hovyo ( Mazuzu ) na Wenye Unafiki mwingi watakubali Kuupitisha huu Upuuzi wao ila Mheshimiwa Rais Samia nakuomba sana usikubali Kuusaini bali uendelee huu huu ulioko na uliotukuza Sisi akina GENTAMYCINE bali Mapungufu hayo Mawili niliyoyataja yafanyiwe Kazi.
Na Rais nae akidanganywa na Kushawishiwa na Wanafiki wa Bungeni na Wanaomzunguka kisha akausaini kuwa Mfumo Kamili GENTAMYCINE nitamdharau mpaka Kiama na hata Kura yangu Tukuka ya 2025 kama atagombea/ akigombea hatoipata.
Nimemaliza.