Nani kawaambia hayo? wengine tulifaulu vzr fm 4 na tulikuwa na sifa za kujiunga "A" level ila kwa hiari zetu tukaenda teaching as a right way of achieving triumphs,sasa wale wanaobwatuka2 eti wlm wa pr. walifeli mthn wa fm 4 wafunge bakuli lao.
Samahani mkuu ila nitaeleza kwa uzoefu wangu,
Nilipomaliza kidato cha nne kuna rafiki zangu wanne walijiunga sehemu hizi
Msichana mmoja alipata div 4 ya 26 kwa sasa ni askari polisi yuko Bukoba, jamaa mwingine alipata div 4 ya 30 nae ni askari polisi yuko Tabora, mwingine room mate wangu alipata div 4 ya 29 kwa sasa ni askari magereza huko bukoba, jamaa mwingine alipata div 4 ya 27 kwa sasa ni askari jeshi yuko monduli arusha.
Nirudi kwenye mada wanafunzi wengine wapatao sita walipata div 4 ya 26-27 kwa sasa ni walimu wa shule za misingi sehemu mbalimbali.
Kwa wanafunzi waliofaulu kuanzia div 3 ya 25 hadi div 1 watatu wamemaliza UDSM, na mmoja kati yao bado anasoma Telecommunication engineering ndo anaanza mwaka wa mwisho chuo kikifungua tarehe 20October.
Mwingine kati ya hawa waliofaulu amemaliza SUA BSc.in Food science.
Najiuliza kwanini hizi takwimu ziko hivi??
Ukipata jibu utaamini kwamba waliofeli wengi wao ndio hujiunga na ualimu wa shule ya msingi.
Kwa kawaida mtu anayejiunga na hizo nafasi wakati elimu yake ni ya kidato cha nne hua darasani ameharibu, ikiwa kuna taarifa ya mwanafunzi aliyewahi kupata credits (div 1-3 nzuri) na bado akajiunga huko basi atujuze kwa uthibitisho.