Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Kiswahili kinazidi kuchungulia kaburi kila siku
Kuna mijitu hasa hii ya mjini hasa hasa wadada wanapenda sana kutumia haya maneno ,MTU unamtumia meseji anaishia kujibu P,Mara K,Mara PW
Mtu akinijibu kipuuzi hivi ndo mwisho wa mawasiliano nae
Kuna neno lingine limeibuka mitaani 'Jomonii" ndo ushenzi gani huu!? Nyie kina Dada nini maana ya Jomonii??
Unakuta hadi madume nao wanaita "Jomoni" Mara SMS wanajibu "P,PW,K"
Wee mwanaume unaemjibu mwanaume mwenzako vkiufupi ufupi hivi basi jua una dalili zote za ushoga ,haiwezekani mwanaume mzima unajibu kimkato mkato na kivivu huo ni ushoga na utatatuliwa marinda
Mzee kifimbo cheza endelea kuchakaza bakora kwa wote wanaoharibu Kiswahili chetu.
Hii ni lugha kuu ya Sizonje na watu wake acheni kuhiaribu na vimisamiati vyenu uchwara hivyo[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Kuna mijitu hasa hii ya mjini hasa hasa wadada wanapenda sana kutumia haya maneno ,MTU unamtumia meseji anaishia kujibu P,Mara K,Mara PW
Mtu akinijibu kipuuzi hivi ndo mwisho wa mawasiliano nae
Kuna neno lingine limeibuka mitaani 'Jomonii" ndo ushenzi gani huu!? Nyie kina Dada nini maana ya Jomonii??
Unakuta hadi madume nao wanaita "Jomoni" Mara SMS wanajibu "P,PW,K"
Wee mwanaume unaemjibu mwanaume mwenzako vkiufupi ufupi hivi basi jua una dalili zote za ushoga ,haiwezekani mwanaume mzima unajibu kimkato mkato na kivivu huo ni ushoga na utatatuliwa marinda
Mzee kifimbo cheza endelea kuchakaza bakora kwa wote wanaoharibu Kiswahili chetu.
Hii ni lugha kuu ya Sizonje na watu wake acheni kuhiaribu na vimisamiati vyenu uchwara hivyo[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]