elvee
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,110
- 1,625
Hata usipoyatumia yule anayetumia anakutoa kwenye mood ya kuendelea kuchat hata kama ni jambo la maanaDawa yake we usiyatumie mkuu utakuwa na amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata usipoyatumia yule anayetumia anakutoa kwenye mood ya kuendelea kuchat hata kama ni jambo la maanaDawa yake we usiyatumie mkuu utakuwa na amani
Pw[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jomoniii
Mkuu nimegee na mimi maana ya hilo neno "jomoni".Aisee naunga mkono hoja!
Mimi siku ya kwanza kuliona hilo neno JOMON niliumiza kichwa mpaka nikampelekea mdada aliyekuwa jirani na mimi ndo akaniambia maana yake
Mengine yanayokera ni yale maneno mtu anaongeza herufi nyingi mbele (mfano) kwenda mtu anaandika kwendaaaa, na hili waga anapenda sana kulitumia yule shoga tuliye naye humu!!!
vepee badala ya vipi
tyu badala ya tu
sasa unajiuliza mwanaume unaanzaje kuandika hivo!!!
Umepotelea wapi we mtu?
Nipo bhana. Ulintafuta ukanikosa? Ukinikosa hapa nicheki WhatsAppUmepotelea wapi we mtu?
Jomoni...WhatsApp Naitoa wapi?Nipo bhana. Ulintafuta ukanikosa? Ukinikosa hapa nicheki WhatsApp
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]haifai kabisa!!na kuna wengine wanatumaga haya maneno kwa wanaume wenzao Mambo!My!Goodnyt!Nambie kah asa mwanaume mwenzako unamuambia niambie akuambie nini akupe dudu au!
Basi mkuu wewe ni kama mimi,mtu akinijibu P,K,namshusha thamani kabisa na namba yake nafuta.Kiswahili kinazidi kuchungulia kaburi kila siku
Kuna mijitu hasa hii ya mjini hasa hasa wadada wanapenda sana kutumia haya maneno ,MTU unamtumia meseji anaishia kujibu P,Mara K,Mara PW
Mtu akinijibu kipuuzi hivi ndo mwisho wa mawasiliano nae
Kuna neno lingine limeibuka mitaani 'Jomonii" ndo ushenzi gani huu!? Nyie kina Dada nini maana ya Jomonii??
Unakuta hadi madume nao wanaita "Jomoni" Mara SMS wanajibu "P,PW,K"
Wee mwanaume unaemjibu mwanaume mwenzako vkiufupi ufupi hivi basi jua una dalili zote za ushoga ,haiwezekani mwanaume mzima unajibu kimkato mkato na kivivu huo ni ushoga na utatatuliwa marinda
Mzee kifimbo cheza endelea kuchakaza bakora kwa wote wanaoharibu Kiswahili chetu.
Hii ni lugha kuu ya Sizonje na watu wake acheni kuhiaribu na vimisamiati vyenu uchwara hivyo[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
HahaKuna jamaa,ni mwanaume kwa jumwangalia alichati na mimi halafu akamalizia kwa kusema usihofu wangu, ikabidi nimuulize unajua una chati na nani, akajibu anajua, nilichofanya ni kumbock tu
Hehehehaifai kabisa!!na kuna wengine wanatumaga haya maneno kwa wanaume wenzao Mambo!My!Goodnyt!Nambie kah asa mwanaume mwenzako unamuambia niambie akuambie nini akupe dudu au!