Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakiiweka unitag pleaseAhahahaha. Lol.
pw=poaHivi nini maana ya PW na jomoni? Yananiboa kishenzi haya maneno.
Jomoni=JamaniMaana ya Jomoni ni nini maana sielewi kuliwa Tigo Nini????
Aisee sasa shida yote ya nini? Yaani hata hayaendani kabisa yanipw=poa
jomoni=jamani
Hilo neno my limewaponza wengiau my,k,owk.nop,like......
ndo hivyo ila wanalazimishaAisee sasa shida yote ya nini? Yaani hata hayaendani kabisa yani
ndo hivyo ila wanalazimisha
Dawa yake we usiyatumie mkuu utakuwa na amani
kivipi mkuuHilo neno my limewaponza wengi
Kuna kamjomba kangu kalikuwa kanataka msaada kikaja na hayo makitu kalikomaje!Neno poa lina versions 3 yani pow, pw na p. Mi mtu akishaniambiaga hivyo nafutaga namba yake. Na saivi wameleta mtindo wa kusema tyu badala ya tu.
"Jamani"ila ile mi shoga kutamka jamani kwa kubenua midomo yao hawawezi ndio wanatumia jomoni kwa kuwa silabi "o"ina wapa wanachokitaka au wengine hutamka"jamwani"ambapo "w"ina serve same purpose kama "o"Jomoni maana yake nini? Hili neno naliona sana humu jf