Nakerwa sana na haya maneno: "P,PW,K,JOMONI"

Nakerwa sana na haya maneno: "P,PW,K,JOMONI"

Kwani hii jomoni ilitokea wap?au aliianzisha nani?,Kuna jamaa alikuwa anapenda kuchat namm lakini anatumia maneno kama mamboooo,nipooo,sawaaa nk Yan anaongeza sirabi nyingi mbele ya neno niahisi shoga maana hizo ni staili za kike kabisa,wanaume tusipende kuiga tu vitu vingine vya kike
 
ilikua unaitwa unachagua adhabu mwenyewe ukichagua adhabu nyepesi unatumwa bakora yakukucharaza na ukileta bakora iliyo chini ya viwango unacharazwa nayo mpaka inakatika vipande unarudishwa unaenda kuleta yakiwango cha juu ndipo utakapo charazwa viboko kwa idadi ya atakayopenda mcharazaji kisha unaachiwa unaondoka

Asante sana mi ni hayo tu lugha yetu iheshimiwe
 
Kiswahili kinazidi kuchungulia kaburi kila siku
Kuna mijitu hasa hii ya mjini hasa hasa wadada wanapenda sana kutumia haya maneno ,MTU unamtumia meseji anaishia kujibu P,Mara K,Mara PW
Mtu akinijibu kipuuzi hivi ndo mwisho wa mawasiliano nae
Kuna neno lingine limeibuka mitaani 'Jomonii" ndo ushenzi gani huu!? Nyie kina Dada nini maana ya Jomonii??
Unakuta hadi madume nao wanaita "Jomoni" Mara SMS wanajibu "P,PW,K"
Wee mwanaume unaemjibu mwanaume mwenzako vkiufupi ufupi hivi basi jua una dalili zote za ushoga ,haiwezekani mwanaume mzima unajibu kimkato mkato na kivivu huo ni ushoga na utatatuliwa marinda
Mzee kifimbo cheza endelea kuchakaza bakora kwa wote wanaoharibu Kiswahili chetu.
Hii ni lugha kuu ya Sizonje na watu wake acheni kuhiaribu na vimisamiati vyenu uchwara hivyo[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Pitia hapa Bibi FaizaFoxy
 
Kiswahili kinazidi kuchungulia kaburi kila siku
Kuna mijitu hasa hii ya mjini hasa hasa wadada wanapenda sana kutumia haya maneno ,MTU unamtumia meseji anaishia kujibu P,Mara K,Mara PW
Mtu akinijibu kipuuzi hivi ndo mwisho wa mawasiliano nae
Kuna neno lingine limeibuka mitaani 'Jomonii" ndo ushenzi gani huu!? Nyie kina Dada nini maana ya Jomonii??
Unakuta hadi madume nao wanaita "Jomoni" Mara SMS wanajibu "P,PW,K"
Wee mwanaume unaemjibu mwanaume mwenzako vkiufupi ufupi hivi basi jua una dalili zote za ushoga ,haiwezekani mwanaume mzima unajibu kimkato mkato na kivivu huo ni ushoga na utatatuliwa marinda
Mzee kifimbo cheza endelea kuchakaza bakora kwa wote wanaoharibu Kiswahili chetu.
Hii ni lugha kuu ya Sizonje na watu wake acheni kuhiaribu na vimisamiati vyenu uchwara hivyo[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ndicho nilitaka kuandika sasa
 
...nilimkuta mtoto wa kiume anasema hiyo jomoni,maamae nilimtia bonge la mdole,
.na makofi juu!
 
Inakera sana unakuta baba au mama mzima anatumia hayo maneno
Matumizi ya x badala ya s pia.
 
Safi sana mkuu, naungana nawewe....sipendi matumizi ya hayo maneno....ni upuuz kukuta jidume et linasema "jomoni" ndo upuuz gan.....wengi wao unakuta hawana marinda.
Cc Beira Baby Boy
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom