Nakerwa sana na haya maneno: "P,PW,K,JOMONI"

Safi kabisa, hili ni jibu fahafu.
 
Yaani kumbe tupo wengi tunakerwa na hawa wanaondika ujinga huu , mimi nimesha chukua hatua kukomesha mtu kuniandikia p nk, hua siwajibu kabisa, au nawauliza wameandika nini basi, uandishi wakihuni huni huuu
 
Mi nakerwa na maneno bosi,mkurugenzi,Mkuu,kiongozi,tajiri yangu n.k
 
Ujue mambo mengine yametokana na utandawazi wenyewe kwasababu ukiangalia saizi watu wengi wanatumia wasap na isitoshe utakuta mtu kajiunga na magroup kibao text zikiingia inabidi ajibu sometime na wengine pia wanamtext ni ngumu kutyp kirefu.that s why wengi wanafupishaga tu maneno ilimladi kila mtu ajibiwe text kwa wakati
 
Kwa mfano kama mimi nikiona tu mpenzi wangu anachelewa kujibu text nammind kwasabu whasap kunaonesha mtu akiwa online utakuta mtu yupo online text ajibu! Mimi ilimrad zinaeleweka na nimejibiwa basi ndo ninachoangalia!
 
Izi simu pia zinapatisha sana moto kidole hasa ukiwa unatyp kwa mda mrefu! Kuzishika napo shida kwasabu nyingin kubwa kiupana kubwa kiurefu ndo mana unabaki tu mtu kuandika poa(p) ok(k) good (9it) ok(Q) nalala (nall) nakadhalika
 
Izi simu pia zinapatisha sana moto kidole hasa ukiwa unatyp kwa mda mrefu! Kuzishika napo shida kwasabu nyingin kubwa kiupana kubwa kiurefu ndo mana unabaki tu mtu kuandika poa(p) ok(k) good (9it) ok(Q) nalala (nall) nakadhalika
Nonsense.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…