NAKICHUKIA SANA KIFO😭

NAKICHUKIA SANA KIFO😭

kante mp2025

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
631
Reaction score
1,192
Mimi ni mtu ninayekichukia sana kifo ingelikuwa ninao uwezo wa kuzuia watu kufa basi ningefanya hivo

Leo nimejikuta namkumbuka sana Dkt.Ferdinand Masau, Mtu bingwa sana kama nchi tuliwahi bahatika kuwa nae akibobea kwenye masuala ya magonjwa ya moyo na taasisi yake ya Tanzania Heart Insitute hadi pale ilipokumbwa na gharika ikafungwa mwaka 2012.


Alikuwa na maono makubwa sana sema ndio hivo wakati mwingine unaweza kuwa na maono makubwa sehemu isiyo sahihi nadhani msongo wa mawazo ulipelekea nae akafarika mwaka 2013.

Vijana wa juzi ndio wanaweza wasijue sana habari zake huyu Dkt.Masau alikuwa bingwa kweli kweli kabla hata ya akina Janabi wanaovuma leo kwenye masuala ya moyo.

Wakati nikikumbuka ule uzi wa tanzia ya kifo cha dkt.ferdinand nikagundua hayati Ndugulile nae aliumizwa sana na kifo kile sema kifo kilivo nae leo hatupo nae kaenda kuungana na dkt. Masau.

Wana mageuzi wengi hawaishi sana sijui kwanini huwa naumia sana.

Hapa chini naambatanisha salamu za pole alizozitoa Dkt.Ndugulile wakati ule 2013 kufuatia kifo cha Dkt Ferdinand Masau.

Nimelia sana leo, Dkt.Masau hakuwahi kuwa ndugu yangu ila nimemkumbuka na kama kuna yeyote alihusika kwenye njama za kumvuruga kisaikolojia Dkt.Masau laana iwatafune hadi kizazi cha nne.

WATU WAZURI HAWADUMU
 

Attachments

  • Screenshot_20241222-145638.png
    Screenshot_20241222-145638.png
    97 KB · Views: 6
إِنَّكَ مَيِّتٌ وَإِنَّهُم مَّيِّتُونَ ﴿٣٠﴾

30. Hakika wewe (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) utakufa nao pia watakufa.


Kila sekunde inayokatika ndio unazidi kukikaribia kifo chako mkuu hakuna atakaeishi milele kweny hii dunia.
 
إِنَّكَ مَيِّتٌ وَإِنَّهُم مَّيِّتُونَ ﴿٣٠﴾

30. Hakika wewe (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) utakufa nao pia watakufa.


Kila sekunde inayokatika ndio unazidi kukikaribia kifo chako mkuu hakuna atakaeishi milele kweny hii dunia.
Kwa maana hiyo dunia haina mwisho ama
 
Mimi ni mtu ninayekichukia sana kifo ingelikuwa ninao uwezo wa kuzuia watu kufa basi ningefanya hivo

Leo nimejikuta namkumbuka sana Dkt.Ferdinand Masau, Mtu bingwa sana kama nchi tuliwahi bahatika kuwa nae akibobea kwenye masuala ya magonjwa ya moyo na taasisi yake ya Tanzania Heart Insitute hadi pale ilipokumbwa na gharika ikafungwa mwaka 2012.


Alikuwa na maono makubwa sana sema ndio hivo wakati mwingine unaweza kuwa na maono makubwa sehemu isiyo sahihi nadhani msongo wa mawazo ulipelekea nae akafarika mwaka 2013.

Vijana wa juzi ndio wanaweza wasijue sana habari zake huyu Dkt.Masau alikuwa bingwa kweli kweli kabla hata ya akina Janabi wanaovuma leo kwenye masuala ya moyo.

Wakati nikikumbuka ule uzi wa tanzia ya kifo cha dkt.ferdinand nikagundua hayati Ndugulile nae aliumizwa sana na kifo kile sema kifo kilivo nae leo hatupo nae kaenda kuungana na dkt. Masau.

Wana mageuzi wengi hawaishi sana sijui kwanini huwa naumia sana.

Hapa chini naambatanisha salamu za pole alizozitoa Dkt.Ndugulile wakati ule 2013 kufuatia kifo cha Dkt Ferdinand Masau.

Nimelia sana leo, Dkt.Masau hakuwahi kuwa ndugu yangu ila nimemkumbuka na kama kuna yeyote alihusika kwenye njama za kumvuruga kisaikolojia Dkt.Masau laana iwatafune hadi kizazi cha nne.

WATU WAZURI
https://youtu.be/0Z1J761wEWM?si=aq3XQjpKNODEvcwE
 
Mimi ni mtu ninayekichukia sana kifo ingelikuwa ninao uwezo wa kuzuia watu kufa basi ningefanya hivo

Leo nimejikuta namkumbuka sana Dkt.Ferdinand Masau, Mtu bingwa sana kama nchi tuliwahi bahatika kuwa nae akibobea kwenye masuala ya magonjwa ya moyo na taasisi yake ya Tanzania Heart Insitute hadi pale ilipokumbwa na gharika ikafungwa mwaka 2012.


Alikuwa na maono makubwa sana sema ndio hivo wakati mwingine unaweza kuwa na maono makubwa sehemu isiyo sahihi nadhani msongo wa mawazo ulipelekea nae akafarika mwaka 2013.

Vijana wa juzi ndio wanaweza wasijue sana habari zake huyu Dkt.Masau alikuwa bingwa kweli kweli kabla hata ya akina Janabi wanaovuma leo kwenye masuala ya moyo.

Wakati nikikumbuka ule uzi wa tanzia ya kifo cha dkt.ferdinand nikagundua hayati Ndugulile nae aliumizwa sana na kifo kile sema kifo kilivo nae leo hatupo nae kaenda kuungana na dkt. Masau.

Wana mageuzi wengi hawaishi sana sijui kwanini huwa naumia sana.

Hapa chini naambatanisha salamu za pole alizozitoa Dkt.Ndugulile wakati ule 2013 kufuatia kifo cha Dkt Ferdinand Masau.

Nimelia sana leo, Dkt.Masau hakuwahi kuwa ndugu yangu ila nimemkumbuka na kama kuna yeyote alihusika kwenye njama za kumvuruga kisaikolojia Dkt.Masau laana iwatafune hadi kizazi cha nne.

WATU WAZURI HAWADUMU
Death is the one certainty that unites both the rich and the poor, a shared destiny we all know will inevitably come.
 
Uzi wa kitoto huu. Kama unakichukia kifo sisi tufanyeje? Tumepoteza wengi zaidi tena wa karibu ila hatulalamiki maana ndio nature
Wewe ndio mtoto

Utoto wako ni kutaka wote tuwe na mitizamo sawa kuhusu jambo fulani.

Mara zote watu wanaojaribu kuyaona mambo kama ya kitoto ukifuatilia kiundani utagundua hawawezi kunyambua baadhi ya mambo.

Shida hata kusoma hidden message huwezi unabaki kuielewa heading tu bila kuelewa content husika ya ujumbe wangu.


Unamfahamu Dkt.Ferdinand Masau, kabla ya yote???

Unajua alipitia mambo gani???

Punguza kukurupuka we mzee
 
Mimi ni mtu ninayekichukia sana kifo ingelikuwa ninao uwezo wa kuzuia watu kufa basi ningefanya hivo

Leo nimejikuta namkumbuka sana Dkt.Ferdinand Masau, Mtu bingwa sana kama nchi tuliwahi bahatika kuwa nae akibobea kwenye masuala ya magonjwa ya moyo na taasisi yake ya Tanzania Heart Insitute hadi pale ilipokumbwa na gharika ikafungwa mwaka 2012.


Alikuwa na maono makubwa sana sema ndio hivo wakati mwingine unaweza kuwa na maono makubwa sehemu isiyo sahihi nadhani msongo wa mawazo ulipelekea nae akafarika mwaka 2013.

Vijana wa juzi ndio wanaweza wasijue sana habari zake huyu Dkt.Masau alikuwa bingwa kweli kweli kabla hata ya akina Janabi wanaovuma leo kwenye masuala ya moyo.

Wakati nikikumbuka ule uzi wa tanzia ya kifo cha dkt.ferdinand nikagundua hayati Ndugulile nae aliumizwa sana na kifo kile sema kifo kilivo nae leo hatupo nae kaenda kuungana na dkt. Masau.

Wana mageuzi wengi hawaishi sana sijui kwanini huwa naumia sana.

Hapa chini naambatanisha salamu za pole alizozitoa Dkt.Ndugulile wakati ule 2013 kufuatia kifo cha Dkt Ferdinand Masau.

Nimelia sana leo, Dkt.Masau hakuwahi kuwa ndugu yangu ila nimemkumbuka na kama kuna yeyote alihusika kwenye njama za kumvuruga kisaikolojia Dkt.Masau laana iwatafune hadi kizazi cha nne.

WATU WAZURI HAWADUMU
Bila kifo usingeweza kuwapo hapa wewe.

Kifo ni njia ya ku recycle matter ili watu wengi waishi.

Kusingekuwapo kifo wewe usingezaliwa kwa sababu dunia ingekuwa imejaa wahenga ambao hawafi.
 
Bila kifo usingeweza kuwapo hapa wewe.

Kifo ni njia ya ku recycle matter ili watu wengi waishi.

Kusingekuwapo kifo wewe usingezaliwa kwa sababu dunia ingekuwa imejaa wahenga ambao hawafi.
😄Hii last verse imenifikirisha sana mkuu

Hapa napata swali huenda tukifa ndio basi tena hakuna hiyo eternal life tunayoahidiwa

Wenzangu wameahidiwa mabikra 12

Sisi tumeambiwa tutaketi na Mungu kwenye kiti cha enzi.


Kwa misingi hii nilijiuliza sana kuhusu kifo nikajikuta nakuwa mzito sana kwenda kanisani.

Maana stori za motoni kwa sisi watenda maovu zinaogofya sana.

Leo mchungaji kasema sisi ambao hatufanyi mema tutatupwa ziwa liwakalo moto
 
Back
Top Bottom