kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Mimi ni mtu ninayekichukia sana kifo ingelikuwa ninao uwezo wa kuzuia watu kufa basi ningefanya hivo
Leo nimejikuta namkumbuka sana Dkt.Ferdinand Masau, Mtu bingwa sana kama nchi tuliwahi bahatika kuwa nae akibobea kwenye masuala ya magonjwa ya moyo na taasisi yake ya Tanzania Heart Insitute hadi pale ilipokumbwa na gharika ikafungwa mwaka 2012.
Alikuwa na maono makubwa sana sema ndio hivo wakati mwingine unaweza kuwa na maono makubwa sehemu isiyo sahihi nadhani msongo wa mawazo ulipelekea nae akafarika mwaka 2013.
Vijana wa juzi ndio wanaweza wasijue sana habari zake huyu Dkt.Masau alikuwa bingwa kweli kweli kabla hata ya akina Janabi wanaovuma leo kwenye masuala ya moyo.
Wakati nikikumbuka ule uzi wa tanzia ya kifo cha dkt.ferdinand nikagundua hayati Ndugulile nae aliumizwa sana na kifo kile sema kifo kilivo nae leo hatupo nae kaenda kuungana na dkt. Masau.
Wana mageuzi wengi hawaishi sana sijui kwanini huwa naumia sana.
Hapa chini naambatanisha salamu za pole alizozitoa Dkt.Ndugulile wakati ule 2013 kufuatia kifo cha Dkt Ferdinand Masau.
Nimelia sana leo, Dkt.Masau hakuwahi kuwa ndugu yangu ila nimemkumbuka na kama kuna yeyote alihusika kwenye njama za kumvuruga kisaikolojia Dkt.Masau laana iwatafune hadi kizazi cha nne.
WATU WAZURI HAWADUMU
Leo nimejikuta namkumbuka sana Dkt.Ferdinand Masau, Mtu bingwa sana kama nchi tuliwahi bahatika kuwa nae akibobea kwenye masuala ya magonjwa ya moyo na taasisi yake ya Tanzania Heart Insitute hadi pale ilipokumbwa na gharika ikafungwa mwaka 2012.
Alikuwa na maono makubwa sana sema ndio hivo wakati mwingine unaweza kuwa na maono makubwa sehemu isiyo sahihi nadhani msongo wa mawazo ulipelekea nae akafarika mwaka 2013.
Vijana wa juzi ndio wanaweza wasijue sana habari zake huyu Dkt.Masau alikuwa bingwa kweli kweli kabla hata ya akina Janabi wanaovuma leo kwenye masuala ya moyo.
Wakati nikikumbuka ule uzi wa tanzia ya kifo cha dkt.ferdinand nikagundua hayati Ndugulile nae aliumizwa sana na kifo kile sema kifo kilivo nae leo hatupo nae kaenda kuungana na dkt. Masau.
Wana mageuzi wengi hawaishi sana sijui kwanini huwa naumia sana.
Hapa chini naambatanisha salamu za pole alizozitoa Dkt.Ndugulile wakati ule 2013 kufuatia kifo cha Dkt Ferdinand Masau.
Nimelia sana leo, Dkt.Masau hakuwahi kuwa ndugu yangu ila nimemkumbuka na kama kuna yeyote alihusika kwenye njama za kumvuruga kisaikolojia Dkt.Masau laana iwatafune hadi kizazi cha nne.
WATU WAZURI HAWADUMU