secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Kifo chako hakiumizi, kinachoumiza ni cha mtu mwingine.
Sijui umenisoma!
Sijui umenisoma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni muweza wa kuwatesa wanaotesa wenzao.Kwahiyo Mungu ni mtesaji
Mmmh yani awaumbe kwa mfano wake afu awatese bila huruma seriousNi muweza wa kuwatesa wanaotesa wenzao.
Yohana 11: 25-26Mimi ni mtu ninayekichukia sana kifo ingelikuwa ninao uwezo wa kuzuia watu kufa basi ningefanya hivo
Leo nimejikuta namkumbuka sana Dkt.Ferdinand Masau, Mtu bingwa sana kama nchi tuliwahi bahatika kuwa nae akibobea kwenye masuala ya magonjwa ya moyo na taasisi yake ya Tanzania Heart Insitute hadi pale ilipokumbwa na gharika ikafungwa mwaka 2012.
Alikuwa na maono makubwa sana sema ndio hivo wakati mwingine unaweza kuwa na maono makubwa sehemu isiyo sahihi nadhani msongo wa mawazo ulipelekea nae akafarika mwaka 2013.
Vijana wa juzi ndio wanaweza wasijue sana habari zake huyu Dkt.Masau alikuwa bingwa kweli kweli kabla hata ya akina Janabi wanaovuma leo kwenye masuala ya moyo.
Wakati nikikumbuka ule uzi wa tanzia ya kifo cha dkt.ferdinand nikagundua hayati Ndugulile nae aliumizwa sana na kifo kile sema kifo kilivo nae leo hatupo nae kaenda kuungana na dkt. Masau.
Wana mageuzi wengi hawaishi sana sijui kwanini huwa naumia sana.
Hapa chini naambatanisha salamu za pole alizozitoa Dkt.Ndugulile wakati ule 2013 kufuatia kifo cha Dkt Ferdinand Masau.
Nimelia sana leo, Dkt.Masau hakuwahi kuwa ndugu yangu ila nimemkumbuka na kama kuna yeyote alihusika kwenye njama za kumvuruga kisaikolojia Dkt.Masau laana iwatafune hadi kizazi cha nne.
WATU WAZURI HAWADUMU
Acha uongo wewe Leo hi hata wakifufuka watu wote waliokufa hapa Tanzania bado hatuwezi kumaliza eneo la Tanzania Kuna misitu mingi Hadi Leo hi haujawahi kuwa makazi ya watuBila kifo usingeweza kuwapo hapa wewe.
Kifo ni njia ya ku recycle matter ili watu wengi waishi.
Kusingekuwapo kifo wewe usingezaliwa kwa sababu dunia ingekuwa imejaa wahenga ambao hawafi.
huenda ukiwa ndani yake unaweza kukipenda hicho kifo,Mimi ni mtu ninayekichukia sana kifo ingelikuwa ninao uwezo wa kuzuia watu kufa basi ningefanya hivo
Leo nimejikuta namkumbuka sana Dkt.Ferdinand Masau, Mtu bingwa sana kama nchi tuliwahi bahatika kuwa nae akibobea kwenye masuala ya magonjwa ya moyo na taasisi yake ya Tanzania Heart Insitute hadi pale ilipokumbwa na gharika ikafungwa mwaka 2012.
Alikuwa na maono makubwa sana sema ndio hivo wakati mwingine unaweza kuwa na maono makubwa sehemu isiyo sahihi nadhani msongo wa mawazo ulipelekea nae akafarika mwaka 2013.
Vijana wa juzi ndio wanaweza wasijue sana habari zake huyu Dkt.Masau alikuwa bingwa kweli kweli kabla hata ya akina Janabi wanaovuma leo kwenye masuala ya moyo.
Wakati nikikumbuka ule uzi wa tanzia ya kifo cha dkt.ferdinand nikagundua hayati Ndugulile nae aliumizwa sana na kifo kile sema kifo kilivo nae leo hatupo nae kaenda kuungana na dkt. Masau.
Wana mageuzi wengi hawaishi sana sijui kwanini huwa naumia sana.
Hapa chini naambatanisha salamu za pole alizozitoa Dkt.Ndugulile wakati ule 2013 kufuatia kifo cha Dkt Ferdinand Masau.
Nimelia sana leo, Dkt.Masau hakuwahi kuwa ndugu yangu ila nimemkumbuka na kama kuna yeyote alihusika kwenye njama za kumvuruga kisaikolojia Dkt.Masau laana iwatafune hadi kizazi cha nne.
WATU WAZURI HAWADUMU

Unachukia kifo la Tulia?Mimi ni mtu ninayekichukia sana kifo ingelikuwa ninao uwezo wa kuzuia watu kufa basi ningefanya hivo
Leo nimejikuta namkumbuka sana Dkt.Ferdinand Masau, Mtu bingwa sana kama nchi tuliwahi bahatika kuwa nae akibobea kwenye masuala ya magonjwa ya moyo na taasisi yake ya Tanzania Heart Insitute hadi pale ilipokumbwa na gharika ikafungwa mwaka 2012.
Alikuwa na maono makubwa sana sema ndio hivo wakati mwingine unaweza kuwa na maono makubwa sehemu isiyo sahihi nadhani msongo wa mawazo ulipelekea nae akafarika mwaka 2013.
Vijana wa juzi ndio wanaweza wasijue sana habari zake huyu Dkt.Masau alikuwa bingwa kweli kweli kabla hata ya akina Janabi wanaovuma leo kwenye masuala ya moyo.
Wakati nikikumbuka ule uzi wa tanzia ya kifo cha dkt.ferdinand nikagundua hayati Ndugulile nae aliumizwa sana na kifo kile sema kifo kilivo nae leo hatupo nae kaenda kuungana na dkt. Masau.
Wana mageuzi wengi hawaishi sana sijui kwanini huwa naumia sana.
Hapa chini naambatanisha salamu za pole alizozitoa Dkt.Ndugulile wakati ule 2013 kufuatia kifo cha Dkt Ferdinand Masau.
Nimelia sana leo, Dkt.Masau hakuwahi kuwa ndugu yangu ila nimemkumbuka na kama kuna yeyote alihusika kwenye njama za kumvuruga kisaikolojia Dkt.Masau laana iwatafune hadi kizazi cha nne.
WATU WAZURI HAWADUMU
So sad aseeKijuujuuu
KUNA jamaa wale walikueaaa wanapiga helĆ serikalini..wanaochagua mgonjwa ea kupeleka India wale ndio waliaamuaa kummalixa walikosa wateja sana
Danadanaa mkuu amesaidia wengisanaSo sad asee
Na kwa waislamu ikoje?Kifo ni hakika.
"lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile, maana siku utakapokula matunda ya mti huo, hakika utakufa.ā
Lakini ashukuriwe Mungu, aliye juu, ambaye kwa njia ya YESU Kristo, anatupa kuishi tena...
Ndio hvo asee kafariki na taasisi yake Tanzania Heart InstituteDanadanaa mkuu amesaidia wengisana
Watu wote waliokufa ni wangapi?Acha uongo wewe Leo hi hata wakifufuka watu wote waliokufa hapa Tanzania bado hatuwezi kumaliza eneo la Tanzania Kuna misitu mingi Hadi Leo hi haujawahi kuwa makazi ya watu
Hao walioanzisha Jakaya Kikwete Heart Foundation ndio waliommaliza Dr. Masau, na watakufa kwa magonjwa ya moyo na hiyo foundation haitawasaidia kitu.Mimi ni mtu ninayekichukia sana kifo ingelikuwa ninao uwezo wa kuzuia watu kufa basi ningefanya hivo
Leo nimejikuta namkumbuka sana Dkt.Ferdinand Masau, Mtu bingwa sana kama nchi tuliwahi bahatika kuwa nae akibobea kwenye masuala ya magonjwa ya moyo na taasisi yake ya Tanzania Heart Insitute hadi pale ilipokumbwa na gharika ikafungwa mwaka 2012.
Alikuwa na maono makubwa sana sema ndio hivo wakati mwingine unaweza kuwa na maono makubwa sehemu isiyo sahihi nadhani msongo wa mawazo ulipelekea nae akafarika mwaka 2013.
Vijana wa juzi ndio wanaweza wasijue sana habari zake huyu Dkt.Masau alikuwa bingwa kweli kweli kabla hata ya akina Janabi wanaovuma leo kwenye masuala ya moyo.
Wakati nikikumbuka ule uzi wa tanzia ya kifo cha dkt.ferdinand nikagundua hayati Ndugulile nae aliumizwa sana na kifo kile sema kifo kilivo nae leo hatupo nae kaenda kuungana na dkt. Masau.
Wana mageuzi wengi hawaishi sana sijui kwanini huwa naumia sana.
Hapa chini naambatanisha salamu za pole alizozitoa Dkt.Ndugulile wakati ule 2013 kufuatia kifo cha Dkt Ferdinand Masau.
Nimelia sana leo, Dkt.Masau hakuwahi kuwa ndugu yangu ila nimemkumbuka na kama kuna yeyote alihusika kwenye njama za kumvuruga kisaikolojia Dkt.Masau laana iwatafune hadi kizazi cha nne.
WATU WAZURI HAWADUMU
Ukishaweka "ukute" unaharibu kila kitu.Kiranga again, the Atheist himself. Ukuteunakesha kwa mwampsa unalia machozi