Pre GE2025 Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

Pre GE2025 Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anguko la chadema ni wazi kabisa
Uchaguzi ndani ya Chama ni wana demokrasia vs dikteta
Fedha chafu( mbowe) vs tundu LISU
Covid 19 ni cancer mbowe anavuta mbunga kila mwezi kupitia covid 19
 
Anguko la chadema ni wazi kabisa
Uchaguzi ndani ya Chama ni wana demokrasia vs dikteta
Fedha chafu( mbowe) vs tundu LISU
Covid 19 ni cancer mbowe anavuta mbunga kila mwezi kupitia covid 19
Utakuwa umelogwa
 
Weka ushahidi wa Uchumia tumbo wao
Matatizo yapo chungu nzima na wote tunayajua na njia za kuyatatua zinajulikana......Ondoeni posho, ruzuku na mishahara ya kujipendelea tuone wangapi mtasimama kuwapambania wasiokuwa nacho.
 
Unakosea na inaonekana bado hujajipa homework.

Tanzania kuna wapinzani wenye credibility ya maana. Labda una chuki zako tu.

Wapo wachumia tumbo na Dr Hayati Magufuli alitusaidia sana kuwajua na kuwachuja.Bado wale Pure wapo.
Why unawaza chuki kama huna chuki….??ni mawazo yangu kuhusu siasa na vile naona karata zinachezwa na wenyewe wapinzani na wanaopingwa nakosa imani!
 
Back
Top Bottom