Pre GE2025 Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

Pre GE2025 Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
Kila mtu anaogopa kujibu hoja za nguli wa sheria na siasa TL, ni vuvuzela tu kama Nepi anavyoimba taarabu
 
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
Wewe bwana unajitekenya kisha unacheka mwenyewe
 
Karibu clubhouse majasusi yalikolala ndani ya sauti ya watanzania. Uzalendo mtupu
 
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema

Maliza kesi yako na Malisa chadema hamsafishiki tundu LISU kawapiga na Mayai viza
Chama kina hela chafu
Mbowe dikteta
 
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
Chadema mna ujinga ambao hautoisha
 
Back
Top Bottom