Pre GE2025 Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

Pre GE2025 Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😄😄😄
 
Yaani una maana aache kuleta utumbo.Aongeze umakini wakati hapo ndio kamaliza kila chembe ya akili aliyonayo?Demand yako ni kubwa sana kwa uwezo wa akili yake.
Umemsikia Kinana? Tuliandika uzi huu tukijua yanayokuja, Kuna wadau hawakutuelewa.
 
Tatizo langu ni kuwa ccm ni uchafu kwangu lakini pia wapinzani nao siwaamini kabisa maana wengi wao ni wachumia tumboni na hawamanishi wala kuishi wanachohubiri...!
 
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
Jasusi Yericko hawezi tena kuisaidia chadema,lazima kwanza mumchangie vitabu vyake.
 
Tatizo langu ni kuwa ccm ni uchafu kwangu lakini pia wapinzani nao siwaamini kabisa maana wengi wao ni wachumia tumboni na hawamanishi wala kuishi wanachohubiri...!
Weka ushahidi wa Uchumia tumbo wao
 
Tatizo langu ni kuwa ccm ni uchafu kwangu lakini pia wapinzani nao siwaamini kabisa maana wengi wao ni wachumia tumboni na hawamanishi wala kuishi wanachohubiri...!
Unakosea na inaonekana bado hujajipa homework.

Tanzania kuna wapinzani wenye credibility ya maana. Labda una chuki zako tu.

Wapo wachumia tumbo na Dr Hayati Magufuli alitusaidia sana kuwajua na kuwachuja.Bado wale Pure wapo.
 
Bila Makonda kupigwa zengwe na kk chadema walikuwa wamepoteana
 
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
Pongezi zianzie kwa Samia
 
Naskia mdude ndo mkurugenzi wa majasusi wa chadema
 
Back
Top Bottom