Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kinana amekuja kuokoa Jahazi, Chawa chalii.....ndembe ndembe kifo cha mende.Makombora ya Lissu yameangamiza Lumumba....ni Mayowe kila kona mpaka huko Mjengoni ni vilio tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinana amekuja kuokoa Jahazi, Chawa chalii.....ndembe ndembe kifo cha mende.Makombora ya Lissu yameangamiza Lumumba....ni Mayowe kila kona mpaka huko Mjengoni ni vilio tu
HahahaHuu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!
Kimbelembele tu kama cha kwanza,Jasusi Mdude anayekesha kwenye vichaka huko Mbeya akivuta bangi
Ndio Chawa hao ambao hawana heshima hata kwa viongozi wao wanawatukanaKimbelembele tu kama cha kwanza,
ni wapi mleta mada ametaja hata mmoja?
Unaumia ukiwa wapi ndugu?Majasusi ama Maharamia?
Vibaraka hawa mabeberu washutumiwe na kukemewa kwa nguvu zote.
John kama John faruKwi Kwi Kwi
Hili linathibitikaCHADEMA ni mpango wa Mungu.
SwadaktaUzuri wachadema imejijengea majasusi wa kujitemmgemea. Hawategemei kulipwa ili wafanye kazi.
HahahaaThe latest kuingia kwenye Mfumo wa Chadema ni Kinana, Je bado Maandamano yale ni Jogging ?
Chawa mfawidhiHii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.
Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!
Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!
Mungu Ibariki Chadema
Kuna mpuuzi mmoja alisema maandamano ya Chadema hayana impact yoyote! Check Sasa wanavyojitapatapa. Masikini ccm hadi naionea Huruma.Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.
Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!
Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!
Mungu Ibariki Chadema
Acha unafiki we jamaa. Unauma huku na kupuliza huku.Uchaguzi wa Ndani unawasumbua hivi je Ule wa Vyama Vyote mtaweza?
Lisu ameongea viroboto wote ccm wametoka kumjibu.Mbali 2030?
Yaani una maana aache kuleta utumbo.Aongeze umakini wakati hapo ndio kamaliza kila chembe ya akili aliyonayo?Demand yako ni kubwa sana kwa uwezo wa akili yake.Erythrocite, wewe mara nyingi umekuwa mletaji wa taarifa za CHADEMA hapa JF.
Ushauri wangu kwako, ongeza umakini, jitofautishe na akina Mwashambwa katika uletaji wako wa habari.
Uletaji wako wa habari uoneshe umakini.
😂Jasusi Mdude anayekesha kwenye vichaka huko Mbeya akivuta bangi