Pre GE2025 Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

Pre GE2025 Nakipongeza kikosi Maalum cha CHADEMA kwa kufanikiwa kuteka mijadala yote ya Nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!
Hahaha
 
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
Chawa mfawidhi
 
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa.

Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, Mnasikilizwa na kila Mtanzania, Kikwete alisema ili CCM ianguke labda yatokee Maajabu, sasa haya ndio Maajabu yenyewe, Kwa muda mfupi kabisa Game imechange vibaya sana! Mada zote za Nchi ni Chadema tu!

Naambiwa kikosi chenu Kipana kina Watu watano tu, yaani watu watano wamekaa chini wakaua kabisa ccm mioyoni mwa wananchi na kuipandikiza Chadema kirahisi mno! Nilifikiria kuwataja Watu hao Majasusi wa Mambo ya kisiasa walioua ccm kwa siku 30 tu, Lakini naona ngoja niminye kwanza kwa sababu za Kiusalama, Ila kiukweli CHADEMA Mungu anawaona! Wallah tena!! Haiwezekani Aiseeee!

Mungu Ibariki Chadema
Kuna mpuuzi mmoja alisema maandamano ya Chadema hayana impact yoyote! Check Sasa wanavyojitapatapa. Masikini ccm hadi naionea Huruma.
 
Sikuwahi tegemea ntakuwa hai kisha ntashuhudia rais mzanzibari ambae kumwita mzanzibar ni ubaguzi .
 
Erythrocite, wewe mara nyingi umekuwa mletaji wa taarifa za CHADEMA hapa JF.

Ushauri wangu kwako, ongeza umakini, jitofautishe na akina Mwashambwa katika uletaji wako wa habari.

Uletaji wako wa habari uoneshe umakini.
Yaani una maana aache kuleta utumbo.Aongeze umakini wakati hapo ndio kamaliza kila chembe ya akili aliyonayo?Demand yako ni kubwa sana kwa uwezo wa akili yake.
 
Back
Top Bottom