Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #21
Hahaha, mapema Sana kuwaza hilo.Eeeh, inakoelekea utachukia hata mashemeji😄😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, mapema Sana kuwaza hilo.Eeeh, inakoelekea utachukia hata mashemeji😄😄
Oukaysometimes iko hivo, na nime sikia story nyingi na kuzi ishi baadhi.
Mdogo wangu wa 2 tuli kuwa marafiki wakubwa, ila kwa Sasa sio kivile.
Kaka yako wa hiyari nipo hapa, haya toto sema una shida gani?Nawaonea wivu watu wenye kaka
Nah you won't be a certified lover boy, you will become a certified pedophile.Kama unampenda sana mdogo wako basi ni vizuri niwe shemeji yako.
Pm iko wazi tupia namba yake pale.
Ina pendeza in kichinga voiceKaka yako wa hiyari nipo hapa, haya toto sema una shida gani?
Tuwalinde tu dada zetuIna pendeza in kichinga voice
Yes, ikitokea mkawa maadui it's over. Hata mkisuluhishwa vipi ni ngumu kukaa sawa. Aliyekuwa rafiki yangu sana sana, my best friend bro- now is far off, yaani maisha haya..ðŸ˜Yeah ni kweli,.
Wanasemaga Siblings wana upendo ule upendo kweli kweli usio na unafki,.
The thing is, ikitokea wamekuwa maadui basi ndio maadui mpaka kufa,. Hivi ni kweli?🤔🤔 ( Nje ya mada kidogo )
ana miaka 9 madamAna umri gani
Pole Sana kaka, ali pata ajali au ali umwa ??Yes, ikitokea mkawa maadui it's over. Hata mkisuluhishwa vipi ni ngumu kukaa sawa. Aliyekuwa rafiki yangu sana sana, my best friend bro- now is far off, yaani maisha haya..ðŸ˜
Expert shida iko wapiUna uzungu mwingi sana bro. Mimi hata kumuambia dadaangu usiku mwema siwezi
pamoja Sana mkuu.Hongera kaka mzuri.
Jitahidi mkuu, hata kumu ambia una mjali ni jambo jema.Una uzungu mwingi sana bro. Mimi hata kumuambia dadaangu usiku mwema siwezi
miaka 9 mkuuana miaka mingapi