Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
shukran yah najitahidi naenda step by stepDuuuh, pole mkuu. Lakini maombi pekee hayatoshi. Inatakiwa ufatilie zaidi
Shukran sanaPole mkuu, sogea hospitali kubwa zaidi kwa uchunguzi zaidi.
Mungu akufanyie wepesi.
Aisee.Pole sqna,sogea hospital nyingine,Yesu akuponye...
Pole mdogo angu,Habari,
Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.
Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Hezbollah wa mchongo kumekuchaAisee.
Mlokole aliyefyatuka fyuzi unataka kusema nini?Hezbollah wa mchongo kumekucha
Na leo nimeamka vibaya sitaki shoboMlokole aliyefyatuka fyuzi unataka kusema nini?
NakaziaPole mkuu, sogea hospitali kubwa zaidi kwa uchunguzi zaidi.
Mungu akufanyie wepesi.
Badili hospitali, kama umeenda gov umekutana na wahuni. Nenda privateHabari,
Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.
Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.