Zingatia ushauri huu.Pole mkuu, sogea hospitali kubwa zaidi kwa uchunguzi zaidi.
Mungu akufanyie wepesi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zingatia ushauri huu.Pole mkuu, sogea hospitali kubwa zaidi kwa uchunguzi zaidi.
Mungu akufanyie wepesi.
Umeenda dispensary,health centre ama distric hospital.......yaani uende Pulmonology unit pale MNH,agha-Khan ama Saifee wasijue unaumwa nini?,acha utani basiHabari,
Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.
Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Mbona unakwepa swali langu? acha kunilisha maneno,hakuna anayeponya hapo hata wewe unalijua hilo ndio maana ukamwambia kua aende Hospitali.Vyema.Ni vizur kama umeamini Yesu anaponya...hayo ya chumvi na mafuta kama huamini hayana ulazima.....binafsi siwezi kuwa wakili wa chumvi na mafuta
Private ndio kuna wahuniBadili hospitali, kama umeenda gov umekutana na wahuni. Nenda private
Brother kama unatetea tetea by fact, gov labda magonjwa madogo madogo, serious issue huwa wanazichukulia poa. Private Sio za vichochoroni nenda major institutionPrivate ndio kuna wahuni
nenda hospitali ya juu ya hiyo uliokwenda, huyo dokta aliyekwambai hivyo ni mjinga. Mshitaki.Habari,
Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.
Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Huna shida yeyote wakati unakohoa damu ???.Habari,
Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.
Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Wivu tu, hutaki mwenzio afaidi.Aisee JF imekua Facebook
Acha nongwa, tatizo lake kwa kitaalamu linaitwa pulmonary geongatividis, na dawa yake ni kulamba marinda.Tatizo jukwaa limevamiwa na vitoto vya secondary yaani mtu anapost suala la ugonjwa mtu unaandika upuuzi kama huo dah!
Dawa ni kunyonya nanilii tu.Unazijua fungus za kwenye ubongo wewe?Hatari.Unakua unaongea kama umemeza redio.
Yesu atamponya,,,hao hospitality bila Yesu ni kazi bureMbona unakwepa swali langu? acha kunilisha maneno,hakuna anayeponya hapo hata wewe unalijua hilo ndio maana ukamwambia kua aende Hospitali.
Sometimes inatokea kunywa maji ya kutosha epuka vitu kama vumbi pollens na any substance that may alter allergic reactionHabari,
Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.
Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Tafuta hospitali kubwa hasa kitengo cha TB! Kuna binti wa mdogo wangu alikuwa anakohoa damu hivyo hivyo. Hospitali ndogo ndogo wakawa hawaoni kitu, mama mtu akabeba ampeleke kwa waganga wa kienyeji, nikawapiga marufuku wakamleta mjini kufika kitengo cha TB akakutwa nayo na kuanza matibabu hapo hapo. Mpaka leo ananishukuru kwamba kwa kienyeji alikuwa anaenda ku-dedi!Habari,
Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.
Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Nashukuru Mungu nipo poa now nilikuwa nimelazwa now nipo vzr sana shukrani kwa maombi yenu wotePole Mkuu,
Mungu akusaidie,wewe kwangu ni kati ya member wachache sana ninao wakubali sana hapa JF
Get well soon.