Nakohoa damu, nimeenda hospitali wanasema kuwa sina shida yoyote

Nakohoa damu, nimeenda hospitali wanasema kuwa sina shida yoyote

Habari,

Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.

Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Nenda hosipitali ya serikali, achana na hizo za mitaani.
 
Elezea na dalili zingine kama unazo ukiacha hii ya kukohoa damu.

Ikiwezekana elezea pattern ya kukohoa ikoje? Muda gani unakohoa sana na muda gani kinapoa? Nini ukifanya kinazidi?

Rangi ya damu ni nyekundu (fresh wound) au damu ya mzee (damu iliyoganda)

NB. Mimi siyo daktari nipo mortuary hua nasikia wakiongea
 
1. Kuna dawa zozote ulkua unameza kabla ujaanza kukohoa?

2. Uliwahi kuugua Gout?
(Ugonjwa wa miguu na joint kuwaka Moto)

3. Unawahi au ulishawahi kuvuta sigara?

3. Umepima kifua kikuu?
 
Amina!
Wafilipi 2:10 neno la Mungu Yehova linasema "kwa bwana Yesu kila goti litapigwa,"
nafurahi kwa kukiri kwako naona unaanza kukunja goti taratibu kitukuu ya babu mdogo Ishmail...Hakika Yesu atamponya na tutaendelea kuwa nae hapa jukwaani
Ila lazima aende Hospital ndio Yesu amponye kama ulivyo mshauri,si ndio?

Vipi kuhusu wale ambao hua wanapona kwa maombi au kwa mafuta na chumvi? au hiyo njia haifai? au hua ni geresha tu ya hao wachungaji?

😀😀😀😀😀
 
Habari,

Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.

Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Pole. Usi-panic sana. 1. Una uhakika kuwa unakohoa damu? Nasema hivi kwa sababu unaweza kuwa tatizo lako liko kinywani eg kwenye meno au kuna mchubuko wewe ukadhani damu inatoka ndani. 2. Koo halina tatizo? Inawezekana kuwa kooni kuna mchubuko mdogo sana ndiyo unasababisha. Mwisho niulize, walifanya uchunguzi gani na kusema huna tatizo.? Jambo la muhimu ni kusubiri na ukiona tatizo haliishi, urudi tena hospital.
 
Habari,

Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.

Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Kuna virus wabaya sana huwa wanashambuli koo na kuweka kidonda. Unajisikia kuwa na dalili za flu?
 
Habari,

Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.

Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Kapime TB kwenye hospitali inayoeleweka achana na vizahanati uchwara.
 
Ila lazima aende Hospital ndio Yesu amponye kama ulivyo mshauri,si ndio?

Vipi kuhusu wale ambao hua wanapona kwa maombi au kwa mafuta na chumvi? au hiyo njia haifai? au hua ni geresha tu ya hao wachungaji?

😀😀😀😀😀
Vyema.Ni vizur kama umeamini Yesu anaponya...hayo ya chumvi na mafuta kama huamini hayana ulazima.....binafsi siwezi kuwa wakili wa chumvi na mafuta
 
Habari,

Tuombeane asee this week kuanzia j5 siko sawa kabisa, ni mgonjwa na sijawai umwa au kusumbuliwa hivi.

Nakohoa damu then nimecheki hospital wanasema kuwa sina shida yoyote labda kama nilibeba kitu kizito, ila sijabeba na kwasasa kazi zangu ni nyepesi za kawaida.
Umepima madonda ya tumbo?
Na pia upime Tb kwa vipimo sahihi.
 
Back
Top Bottom