Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
KIUFUPI MTOA MADA ULICHO ANDIKA HAPA HAKIWEZEKANI, YANI UKOHOE DAMU HALAFU WASEME NAUNA SHIDO?? NENDA HOSPITALI NYINGINE,kwann??
Kikoozi cha damu hata kama ni kifua kina kuwa kimefikia hatua mbayaa!,
Kama koo limeliwa na wadudu na kuharibu baadhi ya mishipa ya damu hii ni shida, wadudu kama nesseria gonnoroea au streptococcus pyogenes, au iyo dama unayo kohoa wanatakiwa waipime, au wa kuswab hilo koo
Kikoozi cha damu hata kama ni kifua kina kuwa kimefikia hatua mbayaa!,
Kama koo limeliwa na wadudu na kuharibu baadhi ya mishipa ya damu hii ni shida, wadudu kama nesseria gonnoroea au streptococcus pyogenes, au iyo dama unayo kohoa wanatakiwa waipime, au wa kuswab hilo koo