Nakshi nyumba yako na Tanga stone

Nakshi nyumba yako na Tanga stone

So Mtu akitaka Materials kwako, kukata Kwako, kujenga au kufitisha Kwako, Mnafanya kwa Gharama Gani??
 
So Mtu akitaka Materials kwako, kukata Kwako, kujenga au kufitisha Kwako, Mnafanya kwa Gharama Gani??
Haipungui tsh. 60,000, ila nashauri ununue mawe mwenyewe utasave kidogo.
 
Hapa tunakuletea ujenzi bora wa Tanga stone. Tumebobea kubuni kukata na kuyajenga mawe ya Tanga.

Ofisi yetu ipo Rufungira Mwenge utatupata kwa namba hii 0766111212
pia kupitia whatsapp utaweza kuona kazi zetu mbalimbali.

View attachment 517350View attachment 517351View attachment 517352View attachment 517355
Katika picha hizi kuna kazi ambazo nimefanya mimi nyingine sio zangu, ila nimelenga kukuonesha mwonekano wa Tanga stone ,
Naomba kujulishwa bei ya kujenga 1square meter ( bei ya hayo mawe + bei ya ufundi)
 
Naomba kujulishwa bei ya kujenga 1square meter ( bei ya hayo mawe + bei ya ufundi)
Kazi ya mawe hususani tanga stone iko hivi:

1. Kuna garama ya kuyanunua na kuyafikisha site.
2. Kuna garama ya kuyakata kwa size unayoitaka.
3. Kuna garama ya kujenga.

Kama ni kazi kubwa ukinunua Tanga ni nafuu, kukata sqm moja ni tsh. 6,0000
Kujenga sqm 1 wastan ni tsh. 12,000-15,000

Kazi kubwa kwenye Tanhga stone ni kukata, kwani watu wengi wanapendezwa na mwonekano wa kukata.
 
Kazi ya mawe hususani tanga stone iko hivi:

1. Kuna garama ya kuyanunua na kuyafikisha site.
2. Kuna garama ya kuyakata kwa size unayoitaka.
3. Kuna garama ya kujenga.

Kama ni kazi kubwa ukinunua Tanga ni nafuu, kukata sqm moja ni tsh. 6,0000
Kujenga sqm 1 wastan ni tsh. 12,000-15,000

Kazi kubwa kwenye Tanhga stone ni kukata, kwani watu wengi wanapendezwa na mwonekano wa kukata.
Kukata ni 60k au 6k mana naona umeandika 6,0000?
 
Anhaa , hayo mawe huwa wanauza kwa kipimo gani na bei yake ina-range kwenye ngapi kwa hapa DSM?
1507862328424.jpg
1507862408084.jpg
 
Kazi ya mawe hususani tanga stone iko hivi:

1. Kuna garama ya kuyanunua na kuyafikisha site.
2. Kuna garama ya kuyakata kwa size unayoitaka.
3. Kuna garama ya kujenga.

Kama ni kazi kubwa ukinunua Tanga ni nafuu, kukata sqm moja ni tsh. 6,0000
Kujenga sqm 1 wastan ni tsh. 12,000-15,000

Kazi kubwa kwenye Tanhga stone ni kukata, kwani watu wengi wanapendezwa na mwonekano wa kukata.

Yasiyokatwa Tanga yanauzwaje?
 
Fuso inayo weza kubeba pic 260 mpaka 300 ni tsh. 1,500,000.
 
Back
Top Bottom