Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Sio hilo Shangazi lako wewe uko safe πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Nipo safe na skia basi acheni kunikatisha tamaa et..""linakuacha gafla vuu""
Wewe unaambiwa maneno kama hayo utajiskiaje mkuu πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί
 
mishangazi toka mnaanza ndo kama umemmuanza yeye, katikatia ndo kama mmeanza , mwisho ndo kunanoga.
im 42.
Wewe all in all mi nakula raha zangu na mpaka sasa najua project zake kibao mkuu...

Japo ndgu zake sijawajua sana ila wapo baadhi muhimu.

Kuhusu kuniacha gafla bin vuu hilo sahahuni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸŽ‰πŸŽ‰
 
Wewe all in all mi nakula raha zangu na mpaka sasa najua project zake kibao mkuu...

Japo ndgu zake sijawajua sana ila wapo baadhi muhimu.

Kuhusu kuniacha gafla bin vuu hilo sahahuni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸŽ‰πŸŽ‰
kula raha, sisi wengine wachawi tuuuu, sijui tumerithi mikoba bila kujua!
mxxxxxxxiiiiie zetu
 
kula raha, sisi wengine wachawi tuuuu, sijui tumerithi mikoba bila kujua!
mxxxxxxxiiiiie zetu
Mkuu wanasema unachowaza ndo hiko hiko kitakutokea mkuu nina miaka zaidi ya mitano nawazaga mashangazi tuu nikipata basi yananipotea an nikipata yana potea
Sasa huu aiseee hapana Nang'ang'ana
 
Kuna jamaa nae "alibahatika" kupata mdada around 48, huyo dada alikuwa na mapene balaa ila alikuwa mkiwa sana yule dada...

Jamaa alienjoy sana, kidogo angemsahau mkewe kwa raha alizokuwa anapewa. First time kuwekana 5* hotel, mdada akampa hadi kadi, anamuwekea humo pesa ili wakiingia sehemu jamaa ndio analipa(kuonyesha uanaume).

Siku alipoachwa ilikiwa kama jamaa yupo kwa ndoto, hakuamini.
 
Mkuu huyo jamaa kiufupi hakua seriously na jambo lake ...

Mkuu mimi kuna mambo nafanya kutokana na hali niliyoikuta mtaani sina budi kucheza na code hapa aiseee ...

Tena nipo very care na sio mtu wa kukaa tuu natumia kada yangu vzri kiufipi kazi zake nyingi huwa nafanya usiku mkali..

Hii inafanya niwe very important kwake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…