Hahaha............ natamani nijue ni jinsia ipi inapenda kuendesha rough road ππBabu watu siku hizi wamepinda wanapenda rough road
Kuwa na imani na Wazee π€Aaaaah wapi wewe
BothHahaha............ natamani nijue ni jinsia ipi inapenda kuendesha rough road ππ
Kweli Vijana mnafaidi πBoth
Sio wazee wote aiseeeKuwa na imani na Wazee π€
Kufaidi au laanaKweli Vijana mnafaidi π
Laana ipi hapo na wewe ππππKufaidi au laana
Acha zako wewe...ππππππMambo ya mashangazi πππmi sipo
Npo bize najitafuta sitaki kupoteza energy kwenye mijimamaπAcha zako wewe...ππππππ
Unajitafuta for what mkuu..Npo bize najitafuta sitaki kupoteza energy kwenye mijimamaπ
Jamii gani tena wakuu πππππVijana kama hawa wanamchango mdogo sana kwenye jamii
nilikoswa koswa nikanusirika gentleman,Ndugu mbunge wewe haujawahi kunasa?
Ahπππππ mtu na heshima zakonilikoswa koswa nikanusirika gentleman,
tena lishangazi lenyewe lilikua bubu, aise lilikua na mikelele kama yote, ilikua ni fedheha japo ndio mapenzi tena yalivyo,
lakini hatimae baada ya kuhama shule ya kata niloyokua nasoma nikanusurika kuangukiwa na nyumba
Mishangazi hakupi Hela za ww kufanya michongo mingine ila utakula, utavaaa, bando utapata & saloon utaendaUnajitafuta for what mkuu..
Kama mshangazi una provide kila kitu je
Kumbe ndugu mheshimiwa na wewe ni kijana wa ovyoππππππππnilikoswa koswa nikanusirika gentleman,
tena lishangazi lenyewe lilikua bubu, aise lilikua na mikelele kama yote, ilikua ni fedheha japo ndio mapenzi tena yalivyo,
lakini hatimae baada ya kuhama shule ya kata niloyokua nasoma nikanusurika kuangukiwa na nyumba
Vijana wakichaga hamuwezi pata mishangazi mna macho mabaya ya pesa bwasheeπππMishangazi hakupi Hela za ww kufanya michongo mingine ila utakula, utavaaa, bando utapata & saloon utaenda
Mkuu pale kwa mama kibena ulikua unafanya nini?Mambo ya mashangazi πππmi sipo