unajiamini sana we mkula vikubwaVingi mno na bado naruka πππ
uchokozi huuUniseme
Huyo ni dada wa chini ya kitovu tu ,huwezi mkosa kwenye nyuzi za hivyo bwashee.Hovyo
si mchezo,Sema hiyo ilikua fantastic sana mkuu aaaaah hatarrrr hiyo ππππ
Mi nakula tuu mi najiweza mdadaunajiamini sana we mkula vikubwa
Huyo sio mshangazi mkuu , wewe ulikula mtu mwenye uhitaji ndugu mheshimiwa ,bubuπsi mchezo,
ila sasa kitu kimoja kilichokua amezingi sana, na nilikua naabika kichizi, muda bubu akinifuata nyumbani twende tukachunge pamoja, hizo kelele zake babu dah, kama amri vile, halafu haoni aibu kunionyesha ishara za kugegedana, ila mim nilikua naona so kichizi yaa, hasa ukizingatia mimi ni handsome boy mpaka leo, dah
Na ule upwiru wahuni hawawazi wanakaa jikoni Kwa watuUnakuta mmama wa kipare anasukuma chapati kabinuka kama kigoda ,shanga 72 kiunoni , unatoboaje kwa mfanoπ
Ndivyo ilivyo mkuuππNa ule upwiru wahuni hawawazi wanakaa jikoni Kwa watu
kwahiyo gentleman,Huyo sio mshangazi mkuu , wewe ulikula mtu mwenye uhitaji ndugu mheshimiwa ,bubuπ
Kitu cha skanka hikiπ€£π€£π₯π₯πNyamwila255 ππππ₯ sijavuta bangi mimi
Hata kama ni ww jeuri ya kumweka tatu bila Mali ambayo huhudumii unatoa wapi? Labda zamani kidogo kipind sijielewi sanaVijana wakichaga hamuwezi pata mishangazi mna macho mabaya ya pesa bwasheeπππ
Yani mshangazi unatakiwa uwe na pesa na upaja wa maana sasa wewe upo machungani na bibi bubu hauna hata mia , unasema mshangazi ππππππkwahiyo gentleman,
unadhani huo mshangazi alipo nasa huyu kijana wetu mdogo kabisa ambae sote tuna mpenda sana Poor Brain hakua au hana uhitaji?
bubu alikua na pesa ndefu gentleman,Yani mshangazi unatakiwa uwe na pesa na upaja wa maana sasa wewe upo machungani na bibi bubu hauna hata mia , unasema mshangazi ππππππ
ππππNdugu m bunge umenifanya nicheke sana ,mlikua mnakunywa mangure nini?bubu alikua na pesa ndefu gentleman,
hiyo ming"ombe ya maana ilikua yakwake binafsi, alinibebea hadi maziwa, mihogo, viazi au maboga ili nipate chochote kitu machungani, pesa haikua ya maana sana wakati huo si kama sasahaivi,
ila minadani tukienda nilikua nakula minyama na kunywa mno tukiwa pamoja na bubu, ila kwa kujificha na aibu sana watu wasi nione nae ila kelele zake ziliniumbua sana
ni hivi hivi vinywaji vya kawaida tuππππNdugu m bunge umenifanya nicheke sana ,mlikua mnakunywa mangure nini?
Mnadanganywa sana dunia hii hakuna cha limbwata zaidi ya mauno , unakuta mtu kashikwa hapo watu wanasingizia limbwata πSijui kuhusu limbwata aisee! Siwezi kuja kulitumia