Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Wa kwetuuuuπ€we dogo umemaliza field au unawaua wagonjwa hapo Muhimbili na mishangazi yako?
Poor brain ni wa kwenu~?mashangazi yamemteka akili huyo dogo hapumuiWa kwetuuuuπ€
Wewe urassa ndio wa kwetu πPoor brain ni wa kwenu~?mashangazi yamemteka akili huyo dogo hapumui
Ahaaaaa kwema?Wewe urassa ndio wa kwetu π
Napumua tena tena mkuu wangu , sijui wewe?Ahaaaaa kwema?
Ni guud kabisa mkuuNapumua tena tena mkuu wangu , sijui wewe?
Nyoo umbekeNi guud kabisa mkuu
Siwezi kuja kutumia limbwata kwa yeyoteπ
HongeraMi nakula tuu mi najiweza mdada
Wewe kata mauno shanga 72 usisahau kuifinyia kwa ndani ni limbwata toshoπππSiwezi kuja kutumia limbwata kwa yeyoteπ
Nina nyota ya kupendwa nyang'anyang'a hapo situmii limbwata, nikitumia je?π€Basi upo vizuri sanaaaa
Shanga 72 kwani mimi ni mganga? Viuno nilipata F hata kutikisika sijuiWewe kata mauno shanga 72 usisahau kuifinyia kwa ndani ni limbwata toshoπππ
Hahaha unafeli wapi aseeShanga 72 kwani mimi ni mganga? Viuno nilipata F hata kutikisika sijui
Story describes who are apart from all ππI think the work defines the man, not the story πππππ€π€
Shanga 72 kwani mimi ni mganga? Viuno nilipata F hata kutikisika sijui
Wewe kumbe unapenda wagogo?Hewalaaaa...nyie ndio wazuri...