Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
we dogo umemaliza field au unawaua wagonjwa hapo Muhimbili na mishangazi yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kwetuuuu🤗we dogo umemaliza field au unawaua wagonjwa hapo Muhimbili na mishangazi yako?
Poor brain ni wa kwenu~?mashangazi yamemteka akili huyo dogo hapumuiWa kwetuuuu🤗
Wewe urassa ndio wa kwetu 😁Poor brain ni wa kwenu~?mashangazi yamemteka akili huyo dogo hapumui
Ahaaaaa kwema?Wewe urassa ndio wa kwetu 😁
Napumua tena tena mkuu wangu , sijui wewe?Ahaaaaa kwema?
Ni guud kabisa mkuuNapumua tena tena mkuu wangu , sijui wewe?
Nyoo umbekeNi guud kabisa mkuu
Siwezi kuja kutumia limbwata kwa yeyote🙄
HongeraMi nakula tuu mi najiweza mdada
Wewe kata mauno shanga 72 usisahau kuifinyia kwa ndani ni limbwata tosho😁😁😁Siwezi kuja kutumia limbwata kwa yeyote🙄
Nina nyota ya kupendwa nyang'anyang'a hapo situmii limbwata, nikitumia je?🤔Basi upo vizuri sanaaaa
Shanga 72 kwani mimi ni mganga? Viuno nilipata F hata kutikisika sijuiWewe kata mauno shanga 72 usisahau kuifinyia kwa ndani ni limbwata tosho😁😁😁
Hahaha unafeli wapi aseeShanga 72 kwani mimi ni mganga? Viuno nilipata F hata kutikisika sijui
Story describes who are apart from all 😂😂I think the work defines the man, not the story 😁😁😁😁🤛🤛
Shanga 72 kwani mimi ni mganga? Viuno nilipata F hata kutikisika sijui
Wewe kumbe unapenda wagogo?Hewalaaaa...nyie ndio wazuri...