Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Mdogo angu em amka, hii ndoto ni mbayaa kwakooo.
Mshangazi umtoe wapiii? Mshangazi anaishi Chanika mwisho afu nyumba ya kupangaa, wee ulisikia wapiiii?

Mishangazi inaishi mikocheni, masaki, salasala, mbezi beach, kwenye mansions walizoachiwa na waume zao ambao walishang'ata duvet kitamboooo.

Wee hangaika na single mazaa uchwaraaa mwenye vichenji vya kubadilisha samaki had nyama bas. Mshangazi hana hata kadi ya bank, wee huogopiiiiii?

Woiiiiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabla sijaongea chochote ngoja nikutag nihakiki...
cocastic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…