Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Vipi alikuambia ni pigo gani hizoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alisema niache kupinga uzinzi...
Tena walinikomalia kweli kweli mpaka wasimamizi wakafungia uzi, uzi ulikuwa na dakika 16 page 15
 
Umenimis wewe huna lolote mxiuuu
,😂😂😂😂 ms r kwa sasa nakua napatikana kwa mida kama hii ambayo bebi wangu anakua katoka hivo na mii napata mda wa kupumua ,🙏🙏🙏🙏🙏🎉🎉
 
Back
Top Bottom