Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #521
Soon nakuletea pdf blood ๐๐๐๐Nipe na njia za kupata back up....hata nikiachwa nisianze kulialia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soon nakuletea pdf blood ๐๐๐๐Nipe na njia za kupata back up....hata nikiachwa nisianze kulialia
Nasubiria mkuu.....nahitaji kufanya uwekezaji wenye tija kwangu na vizazi vijavyo๐Soon nakuletea pdf blood ๐๐๐๐
Sawa mkuu ngoja nitarudi soonNasubiria mkuu.....nahitaji kufanya uwekezaji wenye tija kwangu na vizazi vijavyo๐
๐๐Uoga wako ni umaskini wako ujue
Weeee ๐ ๐ ๐ sawaNipo makini sana tena sana mkuu....
Nipo makini navyokwambia naelewa nachofanya jua namaanisha l....
Najua sio ndo nitakaa nae hadi mwisho hapana kuna mda mi nitahitaji kuwa na life yangu ila kipindi hiki kuna kitu natengeneza kwanza...
๐๐๐๐ Ngoja niongeze sauti
NISIULIZWE by JUX
Amna, kwan alikuwa na maana gan kukuuliza kama bado una msimamo wako? Mr poor anakupenda sanambona kam umeelewa vibaya ๐คฃ
woooiii lenyewe boya hilo linipende mimi,,linapenda mashangazi,,apo kauliza msimamo wangu wa kumwambia atakufa vibaya.....Amna, kwan alikuwa na maana gan kukuuliza kama bado una msimamo wako? Mr poor anakupenda sana
Mimi nilikwambia nakupenda ukanikazia sio Sehemu yake, nikasema sina budiwoooiii lenyewe boya hilo linipende mimi,,linapenda mashangazi,,apo kauliza msimamo wangu wa kumwambia atakufa vibaya.....
Lini mweeee,,basi baba nakupenda pia๐๐Mimi nilikwambia nakupenda ukanikazia sio Sehemu yake, nikasema sina budi
Mimi sio baba, sijafikia hiyo stage mo, upendo wako unanitosha sana tuโค๏ธLini mweeee,,basi baba nakupenda pia๐๐
Wiiiuu ngaumiss umbekeNyoo umbeke
unakumbuka ndom mkuu, lishangazi hiloo ohoooWewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania.
Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi.
Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini dasalam.
Nakuachaje kwa mfano. Kwa hizi starehe.... ๐๐๐๐๐
Anhaa kumbeMimi sio baba, sijafikia hiyo stage mo, upendo wako unanitosha sana tuโค๏ธ
NdioooAnhaa kumbe
SawaaaaaaNdiooo
Ni hiali yako pia kunikataa mbele ya Poor Brain niaibike, au ufiche aibu yanguAnhaa kumbe