Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Nakuachaje sasa? Si kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi

Wewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania.

Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi.

Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini dasalam.

Nakuachaje kwa mfano. Kwa hizi starehe.... 😋😋😋😋😋
Everything you have according to your name you deserve it.
 
Ah😁😁😁😁😁 mtu na heshima zako
halafu tulikutana tu wakati tunachunga ng"ombe na mbuzi porini,
yeye na mifugo yake kwasababu alikua tajiri sana wa ng"ombe kule kijijini, halafu alikua single,

na mimi na mifugo ya nyumbani,
ilikua nikitoka shule naenda kuchunga then huko ndipo nakutana nae na mengine yanasonga bila mbambamba yoyote :pedroP:
 
Mkuu haka ni kamsemo kako peke yako , mtu hata kama umeandika utumbo unatamani kufuta😁😁😁
😁😁😁😁😁😁😁 Hapana bana ila wewe ni mtu na heshima zako mkuu
 
halafu tulikutana tu wakati tunachunga ng"ombe na mbuzi porini,
yeye na mifugo yake kwasababu alikua tajiri sana wa ng"ombe kule kijijini, halafu alikua single,

na mimi na mifugo ya nyumbani,
ilikua nikitoka shule naenda kuchunga then huko ndipo nakutana nae na mengine yanasonga bila mbambamba yoyote :pedroP:
Sema hiyo ilikua fantastic sana mkuu aaaaah hatarrrr hiyo 😁😁😁😁
 
Sema wamama wa kipare sijui wapoje yaan kwao mama mkubwa kutembea na vijana wadogo sio issue kbs sasa vijana wa uboyzn walijipigia sana .......ni mwiko kukosa kareoke
Ni mwikooooo.
Ni mwikooooooo ahah😁😁😁😁😁😁
 
ni katika kunusurika na visa na mikasa ya maisha ya mahusiano, uchumba na songombingo za kabokamchizi tu leo hii tuko hivi tulivyo imara, tunasonga mbele zaidi :pulpTRAVOLTA:
Ila in serious we kijana wa hovyo sana 😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom