Nakubaliana 100% na walichokifanya Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Kukamata, Kutesa na Kupiga Raia Kawe kwa Mauwaji

Huyu ni kilaza

Nishakutana nae kawe ni mchafu balaa

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
ni mchafu kuliko damu za hedhi za mama yako? mmevuka mipaka ya kumchafua huyu mtu kwa uwongo wenu, uzushi wenu na chuki zenu kwake hivyo watetezi wake tuko na tutampamnbania kwa gharama yoyote ile. na subiria atoke ban aje akute umemchafua hivi kwa uwongo na akupe jibu lake nina uhakika wa 100% hutolifurahia na litakuumiza sana tu
 
πŸ˜‚ Online online.
 
Siye watu wa fasihi tumekwisha elewa hii statement yako Genta (charismatic fella) iko ironic/sarcastic. Siyo kweli unawapongeza JWTZ, bali unawananga. Umeamua kutumia sarcasm baada ya kula ban kupitia ID yako ya siku zote antibiotique-gentamycine, ambapo ulikuwa ukiponda directly
 
Arooo mbona kama unajipigia chapuo nanga?
 
Mkuu Vipi mama yako havuji damu ..?au anavuja kote kote
 
Kwan maana ya JWTZ NI NN?? JESHI LA WANANCHI TANZANIA. HAO WANANCHI NI AKINA NAN?? NI MM NA WW, FULL STOP .KAZ YA JESHI NI KUTULINDA SISI WANANCHI NOT OTHERWISE.
 
Mkuu hiyo ni taasis. Ni zaidi ya mtu mmoja. Ni kama Kigogo wa twitter
 

Hao wanajeshi imara Afrika Mashariki na Kati wasipochunga nidhamu zao uraiani watakufa kama vicheche tena kwa aibu[emoji28] huwezi kuonea watu wakakuchekea tu. Heshimu Raia! Hakuna anayejitoa muhanga kulinda maisha ya mwengine. Watu wanaingia huko kwasababu ni sehemu ya kujitafutia kipato kama kazi nyingine.
 
Hivi genta hapo kawe napata fremu nataka nifungue goli la kuweka uwqkala maana sio kwa nyomi lile la mwamposa.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…