Nakubaliana 100% na walichokifanya Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Kukamata, Kutesa na Kupiga Raia Kawe kwa Mauwaji

Nakubaliana 100% na walichokifanya Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Kukamata, Kutesa na Kupiga Raia Kawe kwa Mauwaji

Me nataka kujua huyu jamaa anajishughulisha na nini hadi kuwa na muda wa kuongoza page mob namna hii, Imagine mtu anaandika nyuzi moja, Anaenda acc nyingine anaandika tena, Then anaenda nyingine anajiunga mkono akiona haitoshi anaenda kuandika nyingine ya kujipinga 😁😁😁😁 Asee salute mwamba
 
Kuna Member Mmoja ( maarufu sana hapa Jamiiforums ) ila nimemsahau tu Jina amekuwa akianzisha Threads nyingi tu za Kuwalaumu Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Wiki iliyopita Kukamata Watu, Kuwatesa na Kuwapiga baada ya Raia wa Kawe Dereva Bajaji Kumuua kwa Kumchoma na Kisu Moyoni Askari wa JWTZ ( Luteni Kanali ) kutokana na Bangi zake Kichwani.

MINOCYCLINE nawalaumu mno Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa kuishia Kuwatesa na Kuwajeruhi tu hao Raia na baadae Kuwaachia huru Wakipumua kwa kuwaonea Huruma.

CDF Gen. Mkunda tafadhali Wanajeshi wako wasiwaonee Huruma kabisa Raia ( hasa wa Kawe ) na Kwingineko pale Raia wakikosea kwa Makusudi na Wakiwadhuru Wanajeshi wako bali naomba wawe Wanawapiga Kikatili na ikibidi wawe wanamaliza Shughuli kabisa ili Raia washikwe na Adabu na wajifunze Kuliheshimu Jeshi na Kuwaheshimu Wanajeshi ambao wamejitoa Mhanga Kuwalinda na Kulinda Mipaka yote ya Tanzania.

MINOCYCLINE kama Mtetezi Mwandamizi wa Wanajeshi ( JWTZ ) na Shabiki wa Vitendo vyote vya kutia Adabu vinavyofanywa na Wanajeshi ( hasa MP ) kwa Raia nasema iwe mwanzo na mwisho Kulikosoa na Kulichokoza Jeshi Bora Afrika ya Mashariki na Kusini mwa Afrika la JWTZ na msipobadilika mtastahili tu Kukamatwa, Kupigwa, Kuteswa na hata Kuwahisha nao Sakafuni / Udongoni vile vile.
KWahiyo unataka kusema nchi hii haina sheria

Kila anaeua na yeye AUAWE kwa amri ya nani?

Sio mahakama tena ndio itoe hiyo amri bali ni group la watu?

Hakuna rule of law and order!

Hauna nchi hapo
 
Wakati majeshi ya kisasa yanasifiwa kwa kua na modern technology na precision equipment na kulinda raia wake popote walipo duniani, hapa Kuna jeshi linasifiwa kwa kupiga wanawake, wazee na watoto wanaopashwa kuwalinda wasio na hatia.
Mtuhumiwa Yuko polisi, badala ya kumfuata huko polisi wanakuja kupiga wanawake na vikongwe.
Halafu MTU anajitoa ufahamu kabisa anasifia a bunch of hooligans.
Wangekua wanaume kweli wsngemfuata mtuhumiwa kwa jeshi imara la polisi ndio wangejua hawajui na maji wangeita mma.
Yaani unaliita jeshi imara la police? Kweli wewe ni unga aisee police ni imara kuliko JWTZ?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Me nataka kujua huyu jamaa anajishughulisha na nini hadi kuwa na muda wa kuongoza page mob namna hii, Imagine mtu anaandika nyuzi moja, Anaenda acc nyingine anaandika tena, Then anaenda nyingine anajiunga mkono akiona haitoshi anaenda kuandika nyingine ya kujipinga 😁😁😁😁 Asee salute mwamba
Elewa maana ya Entertainer and game changer 😆😆
 
Wananchi hawana kosa hapo hayo ni mambo ya Marehemu na huko kwao alikotokea unapajua vizuri?

Kumbuka alikuwa anaenda kupandishwa cheo...
 
Kuna Member Mmoja ( maarufu sana hapa Jamiiforums ) ila nimemsahau tu Jina amekuwa akianzisha Threads nyingi tu za Kuwalaumu Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Wiki iliyopita Kukamata Watu, Kuwatesa na Kuwapiga baada ya Raia wa Kawe Dereva Bajaji Kumuua kwa Kumchoma na Kisu Moyoni Askari wa JWTZ ( Luteni Kanali ) kutokana na Bangi zake Kichwani.

MINOCYCLINE nawalaumu mno Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa kuishia Kuwatesa na Kuwajeruhi tu hao Raia na baadae Kuwaachia huru Wakipumua kwa kuwaonea Huruma.

CDF Gen. Mkunda tafadhali Wanajeshi wako wasiwaonee Huruma kabisa Raia ( hasa wa Kawe ) na Kwingineko pale Raia wakikosea kwa Makusudi na Wakiwadhuru Wanajeshi wako bali naomba wawe Wanawapiga Kikatili na ikibidi wawe wanamaliza Shughuli kabisa ili Raia washikwe na Adabu na wajifunze Kuliheshimu Jeshi na Kuwaheshimu Wanajeshi ambao wamejitoa Mhanga Kuwalinda na Kulinda Mipaka yote ya Tanzania.

MINOCYCLINE kama Mtetezi Mwandamizi wa Wanajeshi ( JWTZ ) na Shabiki wa Vitendo vyote vya kutia Adabu vinavyofanywa na Wanajeshi ( hasa MP ) kwa Raia nasema iwe mwanzo na mwisho Kulikosoa na Kulichokoza Jeshi Bora Afrika ya Mashariki na Kusini mwa Afrika la JWTZ na msipobadilika mtastahili tu Kukamatwa, Kupigwa, Kuteswa na hata Kuwahisha nao Sakafuni / Udongoni vile vile.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu Wiki hii na ilopita yote Ulikuwa ukiwasema wanajeshi Vibaya nini kimekutokea Boss Nauna umechezea Ban umekuja na ID tofauti....

Ila kaaa ukijua kuwa Minocycline nayo ni second-generation tetracycline kwahiyo ni ANTIBAYOTIKI
NA
GENTAMICINE pia ni ANTIBAYOTIKI 🤣🤣🤣

Vipi kuhusu Most talented vipi kuhus charismatic
🤣🤣🤣

Tutakunyanyasa kote Tumeenda hapo kwako tumeambiwa umehama kawe umehamia kati ya mbezi au Sinza Tunakuja 🤣🤣🤣🤣🤣

"alisikika mwanajeshi mmoja aliye mwona Gentamycine kaja na ID tofauti
 
Kuna Member Mmoja ( maarufu sana hapa Jamiiforums ) ila nimemsahau tu Jina amekuwa akianzisha Threads nyingi tu za Kuwalaumu Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Wiki iliyopita Kukamata Watu, Kuwatesa na Kuwapiga baada ya Raia wa Kawe Dereva Bajaji Kumuua kwa Kumchoma na Kisu Moyoni Askari wa JWTZ ( Luteni Kanali ) kutokana na Bangi zake Kichwani.

MINOCYCLINE nawalaumu mno Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa kuishia Kuwatesa na Kuwajeruhi tu hao Raia na baadae Kuwaachia huru Wakipumua kwa kuwaonea Huruma.

CDF Gen. Mkunda tafadhali Wanajeshi wako wasiwaonee Huruma kabisa Raia ( hasa wa Kawe ) na Kwingineko pale Raia wakikosea kwa Makusudi na Wakiwadhuru Wanajeshi wako bali naomba wawe Wanawapiga Kikatili na ikibidi wawe wanamaliza Shughuli kabisa ili Raia washikwe na Adabu na wajifunze Kuliheshimu Jeshi na Kuwaheshimu Wanajeshi ambao wamejitoa Mhanga Kuwalinda na Kulinda Mipaka yote ya Tanzania.

MINOCYCLINE kama Mtetezi Mwandamizi wa Wanajeshi ( JWTZ ) na Shabiki wa Vitendo vyote vya kutia Adabu vinavyofanywa na Wanajeshi ( hasa MP ) kwa Raia nasema iwe mwanzo na mwisho Kulikosoa na Kulichokoza Jeshi Bora Afrika ya Mashariki na Kusini mwa Afrika la JWTZ na msipobadilika mtastahili tu Kukamatwa, Kupigwa, Kuteswa na hata Kuwahisha nao Sakafuni / Udongoni vile vile.
Kuna kitu unachanganya kuna jeshi na kuna wanajeshi,wanajeshi ni watu mchanganyiko kuna wanaopenda kuheshimiwa hawa hawanaga tatizo kabisa hueshimu utu wa raia pia,sasa kuna hawa wengine ndo shida,na ndo maana jeshini wanafundisha sana nidham,kwa sababu wanajua
 
Me nataka kujua huyu jamaa anajishughulisha na nini hadi kuwa na muda wa kuongoza page mob namna hii, Imagine mtu anaandika nyuzi moja, Anaenda acc nyingine anaandika tena, Then anaenda nyingine anajiunga mkono akiona haitoshi anaenda kuandika nyingine ya kujipinga [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Asee salute mwamba
Huyu ni kilaza

Nishakutana nae kawe ni mchafu balaa

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom