Nakubaliana 100% na walichokifanya Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Kukamata, Kutesa na Kupiga Raia Kawe kwa Mauwaji

Nakubaliana 100% na walichokifanya Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Kukamata, Kutesa na Kupiga Raia Kawe kwa Mauwaji

Popoma hovyo kabisa, hata Mimi najua wewe ni genta ukishapigwa ban unakuja na hii id.
Unajifanya una akili kwa kuandika kinyume thread zako.
 
Kuna Member Mmoja ( maarufu sana hapa Jamiiforums ) ila nimemsahau tu Jina amekuwa akianzisha Threads nyingi tu za Kuwalaumu Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Wiki iliyopita Kukamata Watu, Kuwatesa na Kuwapiga baada ya Raia wa Kawe Dereva Bajaji Kumuua kwa Kumchoma na Kisu Moyoni Askari wa JWTZ ( Luteni Kanali ) kutokana na Bangi zake Kichwani.

MINOCYCLINE nawalaumu mno Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa kuishia Kuwatesa na Kuwajeruhi tu hao Raia na baadae Kuwaachia huru Wakipumua kwa kuwaonea Huruma.

CDF Gen. Mkunda tafadhali Wanajeshi wako wasiwaonee Huruma kabisa Raia ( hasa wa Kawe ) na Kwingineko pale Raia wakikosea kwa Makusudi na Wakiwadhuru Wanajeshi wako bali naomba wawe Wanawapiga Kikatili na ikibidi wawe wanamaliza Shughuli kabisa ili Raia washikwe na Adabu na wajifunze Kuliheshimu Jeshi na Kuwaheshimu Wanajeshi ambao wamejitoa Mhanga Kuwalinda na Kulinda Mipaka yote ya Tanzania.

MINOCYCLINE kama Mtetezi Mwandamizi wa Wanajeshi ( JWTZ ) na Shabiki wa Vitendo vyote vya kutia Adabu vinavyofanywa na Wanajeshi ( hasa MP ) kwa Raia nasema iwe mwanzo na mwisho Kulikosoa na Kulichokoza Jeshi Bora Afrika ya Mashariki na Kusini mwa Afrika la JWTZ na msipobadilika mtastahili tu Kukamatwa, Kupigwa, Kuteswa na hata Kuwahisha nao Sakafuni / Udongoni vile vile.
Popoma unajulikana, acha kujitoa ufahamu.
 
eti Kuna Member Mmoja ( maarufu sana hapa Jamiiforums ) ila nimemsahau tu Jina

hovyo kabisa!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu Wiki hii na ilopita yote Ulikuwa ukiwasema wanajeshi Vibaya nini kimekutokea Boss Nauna umechezea Ban umekuja na ID tofauti....

Ila kaaa ukijua kuwa Minocycline nayo ni second-generation tetracycline kwahiyo ni ANTIBAYOTIKI
NA
GENTAMICINE pia ni ANTIBAYOTIKI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Vipi kuhusu Most talented vipi kuhus charismatic
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tutakunyanyasa kote Tumeenda hapo kwako tumeambiwa umehama kawe umehamia kati ya mbezi au Sinza Tunakuja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

"alisikika mwanajeshi mmoja aliye mwona Gentamycine kaja na ID tofauti
[emoji28][emoji28][emoji28]mwanangu Genta kapatikana leo angekuepo apa angechemka ungelowa mitusi double double
 
Kuna Member Mmoja ( maarufu sana hapa Jamiiforums ) ila nimemsahau tu Jina amekuwa akianzisha Threads nyingi tu za Kuwalaumu Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Wiki iliyopita Kukamata Watu, Kuwatesa na Kuwapiga baada ya Raia wa Kawe Dereva Bajaji Kumuua kwa Kumchoma na Kisu Moyoni Askari wa JWTZ ( Luteni Kanali ) kutokana na Bangi zake Kichwani.

MINOCYCLINE nawalaumu mno Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa kuishia Kuwatesa na Kuwajeruhi tu hao Raia na baadae Kuwaachia huru Wakipumua kwa kuwaonea Huruma.

CDF Gen. Mkunda tafadhali Wanajeshi wako wasiwaonee Huruma kabisa Raia ( hasa wa Kawe ) na Kwingineko pale Raia wakikosea kwa Makusudi na Wakiwadhuru Wanajeshi wako bali naomba wawe Wanawapiga Kikatili na ikibidi wawe wanamaliza Shughuli kabisa ili Raia washikwe na Adabu na wajifunze Kuliheshimu Jeshi na Kuwaheshimu Wanajeshi ambao wamejitoa Mhanga Kuwalinda na Kulinda Mipaka yote ya Tanzania.

MINOCYCLINE kama Mtetezi Mwandamizi wa Wanajeshi ( JWTZ ) na Shabiki wa Vitendo vyote vya kutia Adabu vinavyofanywa na Wanajeshi ( hasa MP ) kwa Raia nasema iwe mwanzo na mwisho Kulikosoa na Kulichokoza Jeshi Bora Afrika ya Mashariki na Kusini mwa Afrika la JWTZ na msipobadilika mtastahili tu Kukamatwa, Kupigwa, Kuteswa na hata Kuwahisha nao Sakafuni / Udongoni vile vile.
Gentamcyne na Id mpya

Muandiko wako na mtiririko huwezi kujificha

Hii ni ID yako Gentamycine
 
Kuna Member Mmoja ( maarufu sana hapa Jamiiforums ) ila nimemsahau tu Jina amekuwa akianzisha Threads nyingi tu za Kuwalaumu Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Wiki iliyopita Kukamata Watu, Kuwatesa na Kuwapiga baada ya Raia wa Kawe Dereva Bajaji Kumuua kwa Kumchoma na Kisu Moyoni Askari wa JWTZ ( Luteni Kanali ) kutokana na Bangi zake Kichwani.

MINOCYCLINE nawalaumu mno Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa kuishia Kuwatesa na Kuwajeruhi tu hao Raia na baadae Kuwaachia huru Wakipumua kwa kuwaonea Huruma.

CDF Gen. Mkunda tafadhali Wanajeshi wako wasiwaonee Huruma kabisa Raia ( hasa wa Kawe ) na Kwingineko pale Raia wakikosea kwa Makusudi na Wakiwadhuru Wanajeshi wako bali naomba wawe Wanawapiga Kikatili na ikibidi wawe wanamaliza Shughuli kabisa ili Raia washikwe na Adabu na wajifunze Kuliheshimu Jeshi na Kuwaheshimu Wanajeshi ambao wamejitoa Mhanga Kuwalinda na Kulinda Mipaka yote ya Tanzania.

MINOCYCLINE kama Mtetezi Mwandamizi wa Wanajeshi ( JWTZ ) na Shabiki wa Vitendo vyote vya kutia Adabu vinavyofanywa na Wanajeshi ( hasa MP ) kwa Raia nasema iwe mwanzo na mwisho Kulikosoa na Kulichokoza Jeshi Bora Afrika ya Mashariki na Kusini mwa Afrika la JWTZ na msipobadilika mtastahili tu Kukamatwa, Kupigwa, Kuteswa na hata Kuwahisha nao Sakafuni / Udongoni vile vile.
Leo unajigeuka mwenyewe?

Unajuwa kweli kucheza na akili za wajinga wenzako humu.
 
Hivi Mimi Huwa sielewi misemo yenu ya kuwa mliosomea Cuba ,Cuba mlienda kusomea Nini??

master degree of discovery management association with stakeholder diploma of human kindness na physical therapy mkuu. ada inategemea ni muda utakao soma.
 
Tena wasiishie tu Kuwapiga bali wamalize na Shughuli kabisa hadi Raia mkome. Yaani mnaua Afande ( tena Luteni Kanali ) halafu mnataka mchekewe tu? Mpigwe kabisa.
Kwani huyo Afande kauawa na watu wangapi?!

Kwani kuwa Afande Kuna kipi kubwa?! Ni kazi Kama kazi nyingine!

Ilifaa waadabishwe wanapoonea raia pia ..Ni tz tu watu majoga!

Tunaishi kwa kushirikiana na kuheshimiana pi!
 
Kuna Member Mmoja ( maarufu sana hapa Jamiiforums ) ila nimemsahau tu Jina amekuwa akianzisha Threads nyingi tu za Kuwalaumu Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Wiki iliyopita Kukamata Watu, Kuwatesa na Kuwapiga baada ya Raia wa Kawe Dereva Bajaji Kumuua kwa Kumchoma na Kisu Moyoni Askari wa JWTZ ( Luteni Kanali ) kutokana na Bangi zake Kichwani.

MINOCYCLINE nawalaumu mno Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa kuishia Kuwatesa na Kuwajeruhi tu hao Raia na baadae Kuwaachia huru Wakipumua kwa kuwaonea Huruma.

CDF Gen. Mkunda tafadhali Wanajeshi wako wasiwaonee Huruma kabisa Raia ( hasa wa Kawe ) na Kwingineko pale Raia wakikosea kwa Makusudi na Wakiwadhuru Wanajeshi wako bali naomba wawe Wanawapiga Kikatili na ikibidi wawe wanamaliza Shughuli kabisa ili Raia washikwe na Adabu na wajifunze Kuliheshimu Jeshi na Kuwaheshimu Wanajeshi ambao wamejitoa Mhanga Kuwalinda na Kulinda Mipaka yote ya Tanzania.

MINOCYCLINE kama Mtetezi Mwandamizi wa Wanajeshi ( JWTZ ) na Shabiki wa Vitendo vyote vya kutia Adabu vinavyofanywa na Wanajeshi ( hasa MP ) kwa Raia nasema iwe mwanzo na mwisho Kulikosoa na Kulichokoza Jeshi Bora Afrika ya Mashariki na Kusini mwa Afrika la JWTZ na msipobadilika mtastahili tu Kukamatwa, Kupigwa, Kuteswa na hata Kuwahisha nao Sakafuni / Udongoni vile vile.
kiazi mmoja wewe yani nani apigwe kiboya sema tutapigana, nakazia hao magwanda waache kupiga dada zetu, mama zetu shangazi zetu na watoto, watutafute vidume wenzao tuwafanyie ambush kama hamas mbona tutaelewana tu.
 
Back
Top Bottom