Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Kichaa hawezi kupona ila anapata nafuu na hautakiwi kumuamini pia(Mange),nadhania hata lengo kuu la uzi liko wazi if u can read between the line bado nashangaa idadi ya makala zinavyoongezeka kisa kuna ngoma moja imetoka tena ya yule anaesemwa kaisha tunasahau kua kuna joints kibao zimemwagika tena za wakongwe hasa kama AY na hatukutaka kuziongelea mi nadhani ifike wakati tupunguze chuki za kipuuzi ili maisha yaendelee maana tunatoana akili tu.
MosDef nakubaliana na wewe kwenye ishu ya kuwa na identity iwe kwa mwanamuziki au mtayarishaji ni kitu muhimu jambo la msingi ni kuangalia mahitaji ya soko nashangaa kusikia watu wanataka kumsikia mwanamuziki akiwa kama yuleee haiwezekani leo Prof Jay apasuke kama chemsha bongo,TID apite kama Zeze na Nature wa Hili gemu au Fa wa Ingekua vipi ni mwehu pekee atabaki na fikra hasi narudia tena MosDef mara chache unazochangia unaacha alama sahihi bravo mkuu kwa hili.
Ukiona unachukiwa sana basi jua wanakuogopa au wanaanza kukupenda.
bora umesema lllooh
Last edited by a moderator: