Nakubaliana na ndugu Bashe kuruhusu wakulima kuuza mazao popote wanapotaka

Kwanza mkulima anauza mazao yake akisha vuna tu kwa mfanyabiashara. Labda Serikali iwe inanunua na kuhifadhi(NFRA) kwa bei ya soko.
Yes na hayo ndo maisha yao. So faida wanayopata sio kubwa kama anavyoelezea bashe
 
Msaada kwa wakulima wa Nchi hii ni kuimarisha vyama vya Ushirika, ambavyo watawala wafanya biashara hawataki. Mengine yatabaki kuwa porojo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…