Nakuchukia Baba yangu

Pumbavu ni huyo Baba anayezalisha kama panya halafu anatelekeza watoto.

Huyo Baba hafai kabisa.
mambo madogo sana hayo, mi nimewahi kusikia kwamba kuna Baba mmoja wakuitwa jehova alitelekeza mwanae, wahuni wakasema nae msalabani. piga misumari, aaah nakufa kutakatha dhambi dhenu.
 
Bro sorry kwa hiyo mwanaume aliyeondoka akaacha kichanga Cha wiki mbili ni wa kuongea huruma? Alifikiri kichanga na watoto wake watakula nini? Hata uchukie vipI, hizo damu zako usiziachw na mateso. Mmekorofishana watu wawili, je hao watoto unaosema wanalishwa simu na mama yao angewatelekeza kama baba? Si wangekufa ukute mifupa? Acheni kuendekeza msemo wanawake wana kera wakati uliambiwa ishi nao kwa akili. Tafuta Chaka la kumuacha mwanamke ila kamwe usiache watoto wateseke uje kusema oh shida ni mama yenu, kwani alikulazimisha kuzaa?
 
Ndo maana nasema ni sheria ya Kristo ila sio lazima. Watu wanafanya ni lazima maana ni baba. Alikimbia majukumu. Hapo ni kwa vile una Roho Mtakafifu wa kukusaidia. Sio rahisi. Ni kumwombea neema maana mzazi hastahili lakini ba sisi pia hatustahili pia. Ni neema tu ya Yesu ila sio haki.
 
Toa lawama zikija Mungu anaona. Ila usitelekeze wanao halafu ujitetee ni mama yao kasababisha. Ndo sababu Adam hakusamehewa bustanini. Hakuomba msamaha alilaumu, ni huyu mwanamke. Adhabu ilitoka Bado pamoja na kulaumu!
 
Bro japo wanakera ila usitelekeze watoto. Fanya hata kama wataambiwa kivingine ila fanya. Kamwe usiwatelekeze, wakilala njaa wakilia Mungu anasikia.
 
Another products of a spoiled butts.
 

Attachments

  • 20250205_225459.jpg
    199.3 KB · Views: 1
Upo sahihi ndg lakini tunaweza kuwa na mahasibu tofaut juu ya baba zetu lakini Mimi nachomshauri ama asikie moyo wake unataka nini juu ya mzee wake!

Nina wazazi wawili na wanaishi pamoja

Lakini nimekuwa na tendency ya kukaa na ndg zangu ambao ni single maza naona wanavyo kuwa na chuki juu ya waume zao na mpk watoto kuwachukia baba zao
 
Wanaojibu ni wanaume tupu, wanajipalilia kwao tu kana kwamba wao ni malaika, hivyo wanawake ndiyo wenye makosa, wanasahau wanayo wafanyia wake zao, sasa mkiwakimbia wake zenu na watoto, mama zao wakipambana nao na wakapata mafanikio msirudi tena kuomba msaada mkale mlikopeleka mboga.
 
Baada ya kufika hapo ulipo umefanya jitihada gani za kujikwamua kiuchumi? Au bado unaendelea na kazi ya kumchukia baba yako Hadi kufa. Inuka simama peke yako lawama na chuki kwa baba yako hazitakusaidia chochote.
 
Mkuu hilo lisikupe tabu. Kuna watoto ambao wamspiganiwa na baba zao mpaka baba zao wakapata magonjwa ya moyo. Lakina walipojipata wamewachuka mama zao nakuwaacha baba zao wamalizwe na BP. Nawengine huwapigia cm na kuwatumia hela mama zao tuu!.
NB:
Kama mtu anamuon Baba yake ni useless abadili ubini pia asimsaidie chochote, hata akiumwa usimtibishe ili mzee awahi kurudi kwa Muumba wake mapema ili akutolee kiwingu.
 
Usimlalamikie huyu umzaniaye ni baba yako, usikute alishajuwa ukweli wewe si mtoto wake na ndiyo maana akasepa kutotaka kutunza mtoto wa mwanamme mwingine. Muulize mama yako baba yako halali ni nani, akiwa anakupenda kweli atakuambia tu.
 
Unatakiwa kumshukuru sana babako kukuchagulia mama bora kwahilo tu mtafute umpe hela
 
We Nawe Lakini Basi.......
Inawezekana Kabisa Huyo Mama Ake Na Mshikaji Ndo Jipu.
Kuna Maneno Ukitamkiwa Yanachoma Kuliko Pasi Mi Nafikiri Kuna Siku Huyo Mzee Aliambiwa " We Unauwezo Wa Kunizalish Hawa Watoto Sio Wako Wewe Tu Ndo Unajipendekeza Kuwalea"Mwisho Wa Kunukuu.

Mleta Mada Wewe Kama Mwanaume Mkeo Anakwambia Maneno Hayo Utafanyaje?
Ukizingatia Kuna Siku Ulishawahi Kufumania Meseji Kwenye Simu Yake Ukasamahe
Kuna Siku Ulishawahi Kumkuta Kasimama Na Kidume Fulani Akajitetea Ni Danga la Rafiki Yake Ukasamehe Alafu Sasa Siku Akakwambia Hayo Maneno.

Ushauri Wangu.
Fanya Hivi Ukiwa Na Bi Mkubwa Wako Penda Sana Kumuongelea Vibaya Baba Ako Alafu Angalia Mwitikio Wa Mama.
Ukiona Mama Anakusihi Na Kukukataza Kumuongelea Vibaya Baba Ako Jua Kweli Mdingi Alizingua.
Ukiona Anakaa Kimya Na Kukuacha Utambae Tu Mineno Ya Hovyo Juu Ya Baba Ako Ama Na Yeye Anachangia Maneno Jua Mama Mizinguo Na Mtafute Mdingi Halaka Sana Muyajenge.
Sometime Naamini Shetani Na Wamama Walikuwa Depo Moja Sema Vitengo Vikaja Kuwa Tofauti.
 

Pole sana kwa changamoto ulizopitia.
 
Kuna mtu aliwahi sema
"wakati mwingine kabla ya kumlaumu baba yako kwa nini alitelekeza familia, naomba nikumbie kitu..unajua vituko vya mama yako mpaka baba yako akaamua kukimbia?"
 
Kama Baba yako alikuwa hajamuoa Mama yako, alichokifanya ni sawa tu sababu watoto wa nje ya ndoa hawatakiwi kulalamika,

unachotakiwa kufanya ni kushukuru tu harakati za huyo mzee ukazaliwa basi, mengine yote keep constant
Ndoa ni masuala ya mume na mke, watoto wote wanahitaji huduma na haki sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…