Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Pumbaavu, we mtoto utakuwa bao la kupewa na Refa wewe, watoto walionyooka ni wale wa mabao kama anayofungwa Djigui Diarra
Yes, hii ndo win win situation, hujifungi gereza la chuki na pia hujitesi kuhangaika naye, mtoto wa nyoka ni nyoka, kama yeye hakutunza, asitegemee matunda asiyopandaUlitaka ukimchukia ndio atakufa.
Unamsamehe tu ila hapati kitu changu chochote........hii kubembelezana ni kulea ujinga.
Pesa zako unakula na mademu na pombe mimi za jasho langu uje kula bure tu? Huu ujinga mimi nilishaacha.
Sikufanyi kitu, wala sifatilii mambo yako ila changu cha jasho langu utakisikia kwenye redio. Maisha yanaendelea
Pole sana ndugu. Lakini ili kufuta hilo tatizo kwenye familia na ukoo wako ni bora umsamehe na umpende haijalishi ni wapi amewapitisha maana usipofanya hivyo kwanza utaendelea kupitia maumivu ya moyo na pia utakuwa unaendeleza roho hiyo ya kutelekezana kwenye familia au ukoo wenu.Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu.
Na mitoto yenyewe inapenda kuwasikiliza mama zao,ni kumi kwa mmoja wanao wasikiliza baba zao!!Na yeye angekua mbinafsi akaamua kukojolea nje ungezaliwa?
Mwanaume kukimbia familia ni ngumu sana tena bila sababu ya msingi, ni bora angepata muda amsikilize mzee, hawa kina mama wanawalisha sana sumu watoto.
Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
mkuu umelenga mulemule!Na mitoto yenyewe inapenda kuwasikiliza mama zao,ni kumi kwa mmoja wanao wasikiliza baba zao!!
hivi mkiwa na mimba changa ni lazima mtaje neno IQ?Wewe na IQ yako ya kisoda sijui kama umemuelewa huyu mwamba.
Sasa hata ukifanya wala mama yao hatawaeleza kama umefanyaBro japo wanakera ila usitelekeze watoto. Fanya hata kama wataambiwa kivingine ila fanya. Kamwe usiwatelekeze, wakilala njaa wakilia Mungu anasikia.
Siwezi kumchukia baba yangu hata iweje ugomvi wake na mama wewe unakuhusu nini na pia wewe unajua madhaifu yao?siku zote kila mtu haoni tatizo alilonalo bali huona la mwenzie. ushapandikizwa baba yako mbaya nawe imekuingia akilini.Msamehe bure
Mh! sasa mkuu mbona komenti yako inanilenga mimi tena..? mimi sio mwenye mada watu mmevurugwa kumbe!Siwezi kumchukia baba yangu hata iweje ugomvi wake na mama wewe unakuhusu nini na pia wewe unajua madhaifu yao?siku zote kila mtu haoni tatizo alilonalo bali huona la mwenzie. ushapandikizwa baba yako mbaya nawe imekuingia akilini.
Bro najua umetoka kupitia matatizo na mke wako ila kama una uhaka wale ni wanao nenda kalipe ada wakiwa wanaona, ile 150,000 mwekee mama yao kwenye account halafu waambie. Usikubali yeye awe ndio mtoa maneno kwa watoto. Ana custody ya watoto ila bado utakacholipa hakikisha wanajua. Wanunulie nguo wapelekee wapokee kutoka mikononi mwako mwenyewe.Sasa hata ukifanya wala mama yao hatawaeleza kama umefanya
Unamchukiaje baba yako na ungali hai?Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Unamchukia vipi na hujasikiliza kesi ya upande wake!!??Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Hasa kama alidanganya hajazaa Imemkuta afandesele hiiHapo anajua yeye ni baba tu ipo siku mtamtumia pesa akipata shida..Mfumo wa kuzaana ni mateso tu hapa duniani ni mengi sana .
Kuna mambo mtu unakaa kimya bora ya wale mayatima ,unakuta wazazi wametengana mama yako mzazi kaolewa hataki mfike kwake mnaweza kumuharibia ndoa yake ,kila kitu atashughulia baba yenu.
Kiufupi kuzaana ni utapeli kila binadamu ni mbinafsi ,anazaa watoto kama ulinzi wake wa baadaye ila hana juhudi za kulinda furaha yao kabisa.
hivi mkiwa na mimba changa ni lazima mtaje neno IQ?
تكلم اللغة السواحلى malaya weweYou've been bullied in your real life ndio maana unajifanya gangsta kwenye mitandao.
Ukiwa na wiki 2 ulijuaje kama aliondoka na. Mwanamke mwingine? We unaamini tu sumu alizokulisha mama yako?Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!