usikimbilie kujibu,soma komenti na reply za wananzengo waliotangulia kwanzaHuyo mtoto mwenye alikua week mbili ndio chanzo babako kukimbia, muulize mamaako vizuri huyo ni mtoto wa babaako kweli au?
Haiwezekani babaako akimbie baada tu ya mtoto kuzaliwa.
Si angekimbia Mimba basi,
Jifikirie
na ulipofika muda wa kupewa jina mbona ilimuita jina la mama yake? Kama si mtoto wake na kaondoka kwa ajiri ya hilo why amuite jina la mamayake ? babukijanaHuyo mtoto mwenye alikua week mbili ndio chanzo babako kukimbia, muulize mamaako vizuri huyo ni mtoto wa babaako kweli au?
Haiwezekani babaako akimbie baada tu ya mtoto kuzaliwa.
Si angekimbia Mimba basi,
Jifikirie
Ili tufanyeje, kila family inachangamoto walizopitia, ila watu tupo kimya maisha yanaendelea, siwezi mchukia baba yangu.Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu
nimeuleta mkasa huu si kwa lengo la kumfanya kila atakayeuona uzi wangu ajibu, ungekaa kimya ungepata hasara gani? Au ni wale kila uzi unauchukulia negative tu? Ulijiunga kwa ajiri ya kueneza chuki zako jf? Badilika toa ushauri wa bure mkuu!Ili tufanyeje, kila family inachangamoto walizopitia, ila watu tupo kimya maisha yanaendelea, siwezi mchukia baba yangu.
Kama Baba yako alikuwa hajamuoa Mama yako, alichokifanya ni sawa tu sababu watoto wa nje ya ndoa hawatakiwi kulalamika,Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo
Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Mimi naenezaje chuki hapo! Wewe unaemchukia baba yako, halafu kumchukia baba yako sisi inatuhusu vipi?nimeuleta mkasa huu si kwa lengo la kumfanya kila atakayeuona uzi wangu ajibu, ungekaa kimya ungepata hasara gani? Au ni wale kila uzi unauchukulia negative tu? Ulijiunga kwa ajiri ya kueneza chuki zako jf? Badilika toa ushauri wa bure mkuu!
iko hivi,mama na baba wamefunga ndoa mwaka 1987, na mpaka mama anaacha kuzaa ni jumla ya watoto nane na mimi nikiwemo, yani katika wote hao 8 hakuna hata mmoja aliyezaliwa na baba tofauti, na mzee alipokimbia, akakaa takribani 5yrs akarudi,aliporudi ndo wakamzaa mdogo wangu kitindamimba na mwaka 2018 akachukua mwanamke mwngn akatoroka nae tena mpaka wa leo,ila mawasiliano yapo kati yake na familia yetu na mama akiwemo,ila ktk isue ya kuhudumia familia hatoi hata mia,kuna mdogo wangu alitenguka bega,tukamwambia hakusogea wala kuja kumuona na tumemtibu sisi wenyewe zaid ya 1milioni imetumika,ila akipiga simu ni mpe simu mwanangu flani,yuko wapi flani. Hivyo yaniKama Baba yako alikuwa hajamuoa Mama yako, alichokifanya ni sawa tu sababu watoto wa nje ya ndoa hawatakiwi kulalamika,
unachotakiwa kufanya ni kushukuru tu harakati za huyo mzee ukazaliwa basi, mengine yote keep constant
Hongera.miaka 9 mkuu
mkuu unajua maana ya jukwaa huru? Kila mtu anatoa ya moyoni ili mradi haivunji sera na sheria za jukwaa. Kama haikuhusu si usijibu! Au leta mada yako ambayo inamhusu kila mmoja na aje kujibu hapa. Badilika mzee. Mtu mzima hovyo.Mimi naenezaje chuki hapo! Wewe unaemchukia baba yako, halafu kumchukia baba yako sisi inatuhusu vipi?
mkuu, mama aliyetoka kujifungua siku kumi na nne kuanza kufanya kazi sio mateso?Hongera.
Sasa nataka kujua hayo mateso ambayo mamako na nanyie mlipata ili nidadavue hili andiko lako!
Duuh, kama mzee alikuwa amefunga ndoa halali na akatelekeza familia hapo alizingua,iko hivi,mama na baba wamefunga ndoa mwaka 1987, na mpaka mama anaacha kuzaa ni jumla ya watoto nane na mimi nikiwemo, yani katika wote hao 8 hakuna hata mmoja aliyezaliwa na baba tofauti, na mzee alipokimbia, akakaa takribani 5yrs akarudi,aliporudi ndo wakamzaa mdogo wangu kitindamimba na mwaka 2018 akachukua mwanamke mwngn akatoroka nae tena mpaka wa leo,ila mawasiliano yapo kati yake na familia yetu na mama akiwemo,ila ktk isue ya kuhudumia familia hatoi hata mia,kuna mdogo wangu alitenguka bega,tukamwambia hakusogea wala kuja kumuona na tumemtibu sisi wenyewe zaid ya 1milioni imetumika,ila akipiga simu ni mpe simu mwanangu flani,yuko wapi flani. Hivyo yani
Muheshimu huyu mzee, sikio halizidi kichwa, haya ulitegemea yeye akufikishe hapo form four kwa nguvu za marehemu baba yake?nipo hivi nilivyo kwa sababu ya baba yangu! Labda baba yangu angeamua kutulea ktk njia anayotakiwa kumlea mwanae nisingekuwa kapuku,maskini,mbangaizaji na hohehahe kama nilivyo sasa. Kidato cha nne nilifaulu na kuchaguliwa kujiunga na elimu ya kidato cha tano na sita,ila sikwenda kwa sababu ya ukata, wenzangu niliosoma nao wapo mwaka wa tatu vyuo vikuu,mimi sjui future yangu,ila ushauri wa wadau nimeufanyia kazi,na kesho naenda kukutana na baba yangu. Kwani nimepigiwa simu sasa kuwa umetokea msiba wa babu yangu mkubwa upande wa baba kuwa amefariki na mzee kanihimiza niende,hivyo naenda kukutana nae na ikiwezekana nirudi nae nyumbani kwa mama, pombe ndio chanzo kikubwa cha baba kufanya hayo yote. Ahsanteni wote mliotoa ushauri wenu mkiongozwa na Mshana Jr
🤝Kiongozi pole sana kwa changamoto ulizopitia
Hata hivyo, jitahili sana kuyakubali uliyo yapitia wewe na mama yako; jua tu dhahabu iliyopitia kwenye moto ndio huuzwa bei juu....namaanisha changamoto humnoa mtu na pengine akawa bora na kufanikiwa zaidi.
Hata hivyo sio jambo jema sana kupost kuwa unamchukia Mzazi hata kama amekukosea
Jipe nafasi ya kutafakari zaidi na kama unaona huwezi, jiweke mbali naye kwa muda huku ukitafakari naamini ukifikisha miaka 30hivi utajua usiyokuwa unayajua na pia kupata uwezo mkubwa zaidi wa kuchambua changamoto za maisha na pengine ukampa baba yako nafasi nyingine katika moyo wako
Nawapenda sana Mama zetu ila baadhi hujisahau na kupandikiza chuki kwa watoto (bila ufafanuzi) na ndio sababu nakuomba ujipe muda hadi uweze kuchambua mambo kwa undani zaidi....
Mkuu unachopaswa kuelewa ni kwamba baba hanuniwi na ukue kiwa father is always right. Mpende na kumtunza baba yako upate kuishi marefu na yenye furaha hapa duniani.Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo
Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Hakika mkuu. Umri wake ukisogea atajua tu kusudi la Mungu kumpitisha hiyo njia. Na asipoelewa,nayeye atachukiwa na mwanaye.Kuna siri kubwa imejificha kwa wazazi wako na siku utakapoijua huenda utamchukia zaidi Mama.
Nakuelewa sana. We jamaa ulijipa muda wa kitafakari kwann Mungu kakupitisha huko. Kila jambo baya linawema wake.baada ya sadaka kwa baba ndo nikapata kazi tena kumbuka ni sadaka ilio nona tena iwe ya upendo yaan muombe mungu toba kwa kumchukia baba yako, pia ww samehe yawezekana aliefanya hayo yote sio baba yako ni mungu mwenyew aliamua ni check kwa number hii tushauliane zaid 0750808484 kumbuka baraka zinatoka kwa wazaz hasa baba( lakini tusimzalau mama), toka enzi baraka zinatoka kwa baba nitafute ndugu tuyajenge MIMI SIO MUANDISHI MZURI SANA NISAMEHE ILA KWENYE HAYA CHUKUA CHOCHOTE KILE MUNGU ALICHOTAKA UPATE