Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo
Baba yangu aliondoka nyumbani 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha kakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajiri ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.qq
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefka hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Mm ni mhanga tena bora ww , story yangu ni ndefu mno lakin nakupa tu kifupi baba alikua askari lakin sisi watoto wote hajatusomesha yaaan yeye ndo alikua kikwazo cha sisi kusoma, mimi kwa uwezo wake mungu nikasoma kati yetu watoto watatu , baba aliwafanyia watu connection wakawa ma askari lakin sisi watoto wake hakuwahi kuthubutu, story ni ndefu mno nakupa tu summary sitaki kusema mali alizokua anamilik, sitaki kusema watoto wa nyumba ndogo ambao sio wake walivyokula mali zetu,
ni story ndefu naweza andika kitabu , mimi mungu alinitendea muujiza nimesomeshwa na mzungu , kutoka german, na kipind hiko baba bado yupo kazini na sikuwahi dhubutu kumwambia matatizo yangu yule mzungu, nilipewa kadi ya benk mpk leo ninayo nilikua nawekewa ada na pocket money kila mwezi suala la alinilipiaje lipiaje ni suala jingine, nimemaliza chuo mzee wangu hajui km nimesoma, nilikua na chuki sana moyoni na sikuweza kusamehe, nilikaa muda mlefu sana nna chuki moyoni namchukia sana mzee wangu,
siku moja moyo ukaniambia nitoe sadaka kwa baba yangu yule yule ninaye mchukia , haikua rahis ila nilipata pesa nikanunua nguo nzuri sana nikatuma mtu akapeleka maana mda huo tulikua hatukai nae alitufukuza sis na mama yetu,
baada ya sadaka hiyo mim ndo nilipata kazi, hebu fikiria nimemaliza kozi ya afya nimekaa home miaka miwili kila sehem nakosa kazi, had kujitolea nakosa na ni miak 7 iliopita sio leo....................................