bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
mpumbavu yeye au wewe? Hata mimi ningemchukia baba yangu kama asingenishughulikia.Pumbaavu, we mtoto utakuwa bao la kupewa na Refa wewe, watoto walionyooka ni wale wa mabao kama anayofungwa Djigui Diarra
Hapo kijana akishapata kazi ndiyo kibaba kinajitokeza na kujisemesha ati kisaidiwe kina shida fulani.
Walaaniwe hasa mababa wa aina inayotelekeza watoto.