Nakuja Dar es Salaam kwa mara ya kwanza, nipeni muongozo huu

Nakuja Dar es Salaam kwa mara ya kwanza, nipeni muongozo huu

Wavivu Summary:

Kijana wa Kisukuma, hajawahi kufika Dar, ni graduate wa Education, ana Million 1 taslim, anataka kuja Dar kutafuta maisha.

Kwa kuanza angependa kuuza Dagaa wakavu (dagaa kauzu), anachoomba mumtafutie (1) nyumba ya kupanga maenye nyumba anapokea kodi kwa mwezi (2) mahala pa kuuzia dagaa (meza)
Wewe ni komeshaaa[emoji23][emoji28][emoji1787]
 
Back
Top Bottom