Yurayezekiel
Member
- Dec 3, 2018
- 81
- 60
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu Bando, Natumia freebasic!Nina kuwa na wasi wasi huyu muhanga wa kutafuta kazi muda wote yupo online lkn pia nimtaalamu mzuri sana wa kujibu majibu mazuri
Wasi wasi wangu huyu jamaa hana elimu ya std 7
Pili huyu jamaa hatafuti kazi wala hayupo safarini kuja dar huwezi kuja dar pasina kujua unafikia wapi ilihaki umejikoki bando la kuperuzi njia nzima kwani kutoka kigoma mpaka tabora njia nzima kuna network?
Mwisho muhanga ametoa namba sasa wewe jifanye kumpigia hutajuta maishani mwako....kuna mtu,kuna mamba,kuna kinacho tafutwa humu......
Kaka nimesoma na avatar yako inatoa utambulisho wa jambo fulani.
Mbona ni mambo madogo haya mkuu! Ni kama hapa Tabora stesheni tumefika saa kumi na moja Alfajiri, Sasa mkuu, tangia saa kumi na moja mpaka muda huu, nitakuwa nimewajibu watu wangapi humu? Ni lazima watakuwa wengi. Kwahiyo hoja yako Kuhusu mtandao njiani ina mapungufu ndugu!Wewe ni muogo sana hivi unafikiri watu hatijawahi safir kwa tren?
Hiyo njia nzima ina network?
Au siku hizi mmefungiwa wifi?
Unareply kawaida tu kwa kutumia browser.Nifundishe ukiwa free basic una reply vipi comet?
Uje na tunguri za kutosha utapiga hela hapa mjini maana watu wanaishi maisha ya kuunga unga mutama mwakeye? Zimisiii? Amaghambo?Tumefika kituo cha Rwiche hapa wakuu!
Ukifika Dar utakuta ndugu zako wanauza kahawa!mtaji sidhani hata dola 4usd inafika kila la kheri mkuu!itakuchukua 20years kutoboa kimaisha
Sent by Diaspora
Mpigie simu mbunge wako Zitto KabweWakuu leo ni siku maalumu, nataka niuanze mwaka kwa mambo mapya! Hapa nipo ndani ya treni nakuja Dar! Na muda mfupi treni ndiyo imeanza safari,
Sina sehemu ya kuaminika ya kufikia, kwahiyo kama utakuwa na kazi, Tafadhali nisaidie, Na elimu yangu ni darasa la Saba 0744472252 Ni namba yangu.
Umpe au Ye ndo akupe!!?Ukifika Salanda nistue mkuu nikupe kizizi cha kuvutia mademu na dawa ya biashara
Sent using Jamii Forums mobile app