Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Huyu mpuuzi anakuset amepanda dodoma mpuuze kuwa makini wanakutrak wamekuona ni assezasset kwao

Hivi bia gani unakunywa achana na Gongo, mataputapu, jaribu decent spirit kama Konyagi mix it a little a bit, just friendly advice. Utakuwa kamili. Mwanaume. Ukilewa sana usije online, try to sleep.
 
Jamaa angesema anazamia South Africa, Australia, Uswiz nk hapa washauri wamgekuwa wengi sana lakini kwakuwa kasema Bongo bas ni mwendo wa kumbeza sijui ngozi nyeusi nani alituroga.....usikate tamaa kijana nenda ukapambane ipo siku utafanikiwa,......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepaki nguo zako kwenye shangazi kaja?

Yalishapigwa marufuku huku dar

Sent using Jamii Forums mobile app
Huku kwetu tuna majina ya hiyo kitu. Shangazi oyomba na Wabimanya maki. Meaning Oyomba ni zile kelele za ile mifuko. Wabimanya maki ni kuhusu msiba maana huna muda wa kuazima bag hivyo ukija na huo mfuko ndo hivyo umefahamishwa saa ngapi?
 
Halafu ww mwalimu mbona una roho kubwaaaa,shida iko wapi akiitaja elimu yake ww nn kikuwashacho?????

Unazingua coz unakuwa mpinzani sana kwa huyu dogo wkt hata msaada huna.Shutup bhana muache dogo apambane kivyake na sio kujifanya unajua saaaaana ukatufanya na sie wengine tuanze kutembea bampa to bampa na ww.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ambao sio wapinzani naona mmekuwa sawa na mm mpinzani. Maana hata msaada hamtoi kabisa. Dogo atoa taarifa kama yupo onway to Dar mnajifanya hamjaona taarifa. Msaidieni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungetoa hata sh. Elfu 20 could sound better Better kuliko kukunja mgongo kuandika non sense
Piga moyo konde dogo maisha popote halafu riziki yako iko miguuni kwako achana na hayo maneno ya wanaokutisha mara ooooooh sijui dsm pana miiba,mara sijui pako hivi kwahiyo wanataka kutufanya tuwaone wao ma sterring sana kumudu kuishi dsm???wkt ni sehemu ya kawaida tu coz yawezekana dar pana maisha mepesi kuliko hata huku kwetu

Dogo ninachoweza kukuusia tu ni kuwa uaminifu waweza kuwa mtaji wako wa kukutoa kimaisha,zaidi uwe na Juhudi,Nidhamu na utuhuruma kwa wengine hakika hivyo vitakutoa ktk maisha yako.

Zaidi zaidi Mungu akuongoze,akulinde na akutilie wepesi ktk utafutaji wako ila kumbuka kuuambia moyo wako kuwa

"MOYO TULIA MJINI KUNA VYA WATU"

Hapa namaanisha tamaa na mali za watu itupe hapo dirishani baada ya kusoma msg hii.EPUKA TAMAA KWA VITU VISIVYO VYAKO.

All the best.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
upo wapi saa hizi labda tunaweza kutana kwasababu na mimi nawahi kuja huko
 
Back
Top Bottom