Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

upo wapi saa hizi labda tunaweza kutana kwasababu na mimi nawahi kuja huko
Tumesimama hapa Tabora mkuu! Nasikia wanasema tunasubiri treni ya kutoka mpanda au mwanza.
 
Wewe ni muogo sana hivi unafikiri watu hatijawahi safir kwa tren?
Hiyo njia nzima ina network?
Au siku hizi mmefungiwa wifi?
 
Kuhusu Bando, Natumia freebasic!
Kuhusu mtandao,si kwamba kutoka kigoma mpaka hapa tabora njia nzima nilikuwa najibu chati za humu, hapana, ila nikipata muda na tukifika sehemu yenye mtandao, ndipo nazijibu komenti karibia zote! Shukrani mkuu!
Naamini umenielewa, na nikifika Dar, utakuwa msaada kwangu!
 
Wewe ni muogo sana hivi unafikiri watu hatijawahi safir kwa tren?
Hiyo njia nzima ina network?
Au siku hizi mmefungiwa wifi?
Mbona ni mambo madogo haya mkuu! Ni kama hapa Tabora stesheni tumefika saa kumi na moja Alfajiri, Sasa mkuu, tangia saa kumi na moja mpaka muda huu, nitakuwa nimewajibu watu wangapi humu? Ni lazima watakuwa wengi. Kwahiyo hoja yako Kuhusu mtandao njiani ina mapungufu ndugu!
 
Nifundishe ukiwa free basic una reply vipi comet?
Sehemu ya kwanza imeandikwa Like, unaiacha hiyo! Sehemu ya pili imeandikwa Reply, unabonyeza hapo.
 
Tumefika kituo cha Rwiche hapa wakuu!
Uje na tunguri za kutosha utapiga hela hapa mjini maana watu wanaishi maisha ya kuunga unga mutama mwakeye? Zimisiii? Amaghambo?
 
Mpigie simu mbunge wako Zitto Kabwe
 
Uje na tunguri za kutosha utapiga hela hapa mjini maana watu wanaishi maisha ya kuunga unga mutama mwakeye? Zimisiii? Amaghambo?
Ulakoze chane mutama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…