Ujue nakuelewa sana nazidi kujifunzaWatu ambao hawajawahi kupata shida wana viburi saaana.
Watu bwana mnashindwa kumwamini aise mnamwamini pixel, ahahahhah. All in all, kama unaweza toa msaada toa tu Mungu atakulipa
Nakavizia kitambooo aheeeeeUjue nakuelewa sana nazidi kujifunza
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Akili zako unazijua mwenyeweNakavizia kitambooo aheeeee
Leo katanasa chamboo ahee
Katika
Katika aheee
Watu bwana mnashindwa kumwamini aise mnamwamini pixel, ahahahhah. All in all, kama unaweza toa msaada toa tu Mungu atakulipa
Nakavizia kitambooo aheeeee
Leo katanasa chamboo ahee
Katika
Katika aheee
Asante shunie, kwa aliye na chochote anaweza kumpatia kumpiga tafu, kwa simu aliyonayo hawezi kupiga wala kutuma picha naombeni sana wadau mumsaidieMungu akubarikia sana mega
Mimi nilishamtumia chochote nitajitahidi tena masikini Mungu amsaidie tu nilivyoongea nae tu nilijua kweli ana shidaAsante shunie, kwa aliye na chochote anaweza kumpatia kumpiga tafu, kwa simu aliyonayo hawezi kupiga wala kutuma picha naombeni sana wadau mumsaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe aiseMimi nilishamtumia chochote nitajitahidi tena masikini Mungu amsaidie tu nilivyoongea nae tu nilijua kweli ana shida
Usiwe mwepesi kumhukumu while hujui km anayo nauli au laa, pia kama ni mgeni hapa Dar sio rahisi km usemavo ww aende kituoni aje huko ulipo pengine hata kituo cha kupandia mabasi ya huko Tabata hajui kiko wp.
Tubarikiwe sote mega
Muda huu ndiyo naelekea huko, Mwambie nimkute. Niko ndani ya gari.13 mega pixel nimekuelewa na umetoa mwanga kwa wengine lakini wewe peke yako bado haijatosha ila nasubiri wajumbe wengine wawili walithibitishe hili akiwemo yule aliemuita Barakuda Tabata
Sent using Jamii Forums mobile app
Fika mkuu na huyo jamaa uonane nae nae atupe mrejesho. Tufunguke kutoa misaada tuliokuwa nayo hii dunia tunapita dogo halafu life gumu dogo inabidi ukaze si kitoto. Tuko pamojaMuda huu ndiyo naelekea huko, Mwambie nimkute. Niko ndani ya gari.
Narudia kukutakia mfanikio mema katika utafutaji wako sina cha kukusaidia muha mwenzangu but kidono ni muhimu sana..
Mkuu jamaa anakufuata huko baracuda, nadhani alikuwa anatembea kuelekea huko nimekutana naye kijitonyama shule nilimpigia simu akanipa mtu na kujua alipo nikamfuata na kumpeleka kituoni, hapo juu nimeambatanisha picha yake ila usije ukamzingua tuu